Mkoa gani unaoongoza kwa Warembo Tz?..

Mkoa gani unaoongoza kwa Warembo Tz?..

kusema kweli sijui mkoa ila mimi naona Warangi ni Wazuri huku tanga nawaonaga ni Hatari ila maskini ya mungu mapenzi hasi Sifuri
 
Uzuri kamili wa mwanamke ktk muonekano upo ktk sura, kifua, hips, tako na miguu bila kusahau tumbo na kimo!
Kwa sura kilimanjaro, tako na hips kagera, miguu mtwara, kimo singida nk
weeeee Kilimanjaro wanaongoza kwa Chura bana wana lifti sio ya nchi hii
 
Bila hofu yoyote mtakua fresh nyote ambaye hayuko poa pole yake

tuambie ni mkoa gani ambao una ongoza kuwa na watoto wakali a.k.a wazuri (warembo)? Hapa Tanzania
Karibuni sana
Moro town kuna warembo hatari
 
Sasa n mkoa gani wakushindana na kanda hii
Ya kaskazin chuga na manyara ndo kabsaaa
Hawana hata mpinzan
 
Back
Top Bottom