Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wazuri wa sura tu ila kuhusu mapenz ni ZEROMkuu tueleze Hao watoto wakoje Maana mm nipo Kusini kikazi ila napata sana habari zao
Aaaah naona unapeleka sifa kwenuMbeya maeneo ya chunya,mbozi,wasafwa,ileje etc etc etc.hakuna warembo.nenda tkyu,kyela,huko ni balaa.miguu,kalio,sura ndo pake
Mkuu urembo ni mwonekano bila kujali rangiNimegundua. Kumbe rangi ya weupe ndio urembo!
Maana Mnataja kwa weupe tu.
Kuna Lindi kwao PM wamwera, kuna wangindo, kuna wahangaza, ukija kwetu iringa, ukienda Mara kuna wanata na waikoma,Moro kuna wapogolo, Tabora mboka kwa wanyamwezi. Nenda Kgoma .
Nenda ufipani (mix ya Zambia,Kongo Burundi).
hapendi kusifiwa uongoHuyo ni mpenzi wa mungu huoni kaongea ukweli?
Swadakta.Mkuu urembo ni mwonekano bila kujali rangi
Sumbawanga kuna warembo mm naishi huko....Sumbawanga ni kwetu,kiukweli hakuna warembo.. usije ukawaacha watu wakaamini kua kuna warembo,sehemu zenye warembo ni mikoa ya kaskazini mfano:Arusha,Manyara na katikati ya nchi kama Singida.
ahahahaWana vyerehani huko chini
shida ni maumbo na miguu yaoChuga
Shida akiongea tu urembo wote kwishinieBila kupepesa macho,ARUSHA na KILIMANJARO wako njema sana ila HAWAJUI MAPENZI VIUNO VIGUUUUUUMU