slimdaddy
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 531
- 481
wanatup msukumo wa kutafuta hela pind tunapovutiwa nao afu mfkon empty so bila wao hakun viwandHao Warembo wanasaidia nini kwenye Tanzania ya viwanda?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wanatup msukumo wa kutafuta hela pind tunapovutiwa nao afu mfkon empty so bila wao hakun viwandHao Warembo wanasaidia nini kwenye Tanzania ya viwanda?
umenivhekesha iseee kitu gold kikitok hapoShida akiongea tu urembo wote kwishinie
Well said mkuuwanatup msukumo wa kutafuta hela pind tunapovutiwa nao afu mfkon empty so bila wao hakun viwand
Ndio dar inaongoza kwa waremboDAR ES SALAAM Huku kuna miksa ya warembo kutoka mikoa yote TZ
Hahaha..! Mzee Kayanza Pinda Pinda na sura yake binti yake yukoje sasa...![emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Sumbawanga mkoani rukwa oyeeeee.
Mimi hapa bint yake.Hahaha..! Mzee Kayanza Pinda Pinda na sura yake binti yake yukoje sasa...![emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Hawana vine...beSingida
Mtasema sanaaBila kupepesa macho,ARUSHA na KILIMANJARO wako njema sana ila HAWAJUI MAPENZI VIUNO VIGUUUUUUMU
Changia madaHao Warembo wanasaidia nini kwenye Tanzania ya viwanda?
ahahaha kila mkoa una warembo nadhani my sisterChangia mada
Weupe wa singida hauna mvutoSINGIDA nouma sana.
Umeambiwa UPI zaidiahahaha kila mkoa una warembo nadhani my sister