Mkoa mpya wa Chato washindikana, wadau wataka makao makuu ya mkoa yawe Nyakanazi, Wanachato wakataa wasema bora wabakie Geita

Mkoa mpya wa Chato washindikana, wadau wataka makao makuu ya mkoa yawe Nyakanazi, Wanachato wakataa wasema bora wabakie Geita

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Kama Hayati Magufuli angekuwa hai mpaka keo,hyenda Chato ingeshakuwa mkoa unaojitegemea

Kama tunavyofahamu hulka yake wala asingesubiri vikao vya wadau kutoa maoendekezo,angeamka asubuhi na kutangaza oresidential decree kuwa Chato ni mkoa.

Baada ya kufariki hiyo ndoto ya Chato kuwa mkoa imezima ghafla,

Nikukumbushe mkoa huu ungemega maeneo ya wilaya ya Muleba mpaka magarini,wilaya yote ya Ngara, Kakonko na Biharamulo na Chato yenyewe.

Vikao vta wadau wa suala hilo walimuwa tayari kutengenezewa mkoa wao kwa sharti kuwa makao makuu ya mkoa yawe Nyakanazi ambapo ndio katikati lakini wadau wa Chato walikataa ombi hilo ni vikao vimefungwa rasmi

Hakuna tena mkoa wa Chato
 
Hivi hii issue ya mkoa wa Chato mna uhakika ni mawazo ya Magufuli?

Kabla hajafariki sikuwahi kusikia mambo ya Chato kua mkoa!

Hua mna maana gani kumlisha maneno Magufuli?

Hii ni sawa na wale waliotangaza eti Magufuli anataka kubadili katiba atawale milele!

Ukiwauliza ulisikia wapi hawana jibu.
 
Kama Hayati Magufuli angekuwa hai mpaka keo,hyenda Chato ingeshakuwa mkoa unaojitegemea

Kama tunavyofahamu hulka yake wala asingesubiri vikao vya wadau kutoa maoendekezo,angeamka asubuhi na kutangaza oresidential decree kuwa Chato ni mkoa.

Baada ya kufariki hiyo ndoto ya Chato kuwa mkoa imezima ghafla,
Nikukumbushe mkoa huu ungemega maeneo ya wilaya ya Muleba mpaka magarini,wilaya yote ya Ngara,Kakonko,na Biharamulo na Chato yenyewe.
Vikao vta wadau wa suala hilo walimuwa tayari kutengenezewa mkoa wao kwa sharti kuwa makao makuu ya mkoa yawe Nyakanazi ambapo ndio katikati lakini wadau wa Chato walikataa ombi hilo ni vikao vimefungwa rasmi

Hakuna tena mkoa wa Chato
Safi sana.
 
Hivi hii issue ya mkoa wa Chato mna uhakika ni mawazo ya Magufuli?

Kabla hajafariki sikuwahi kusikia mambo ya Chato kua mkoa!

Hua mna maana gani kumlisha maneno Magufuli?

Hii ni sawa na wale waliotangaza eti Magufuli anataka kubadili katiba atawale milele!

Ukiwauliza ulisikia wapi hawana jibu.
Kusoma hujui na picha huoni,Magufuli kaipamnania sana Chato kutoka kuwa kijijimpaka kuwa wilaya ni juhudi zaje binafsi na alitaka iwe mkoa kabisa,sasa hivi Chato mjini kumedorora mno tangu afariki.mimi naandika haya nikiwa Chato so nafahamu
 
Kusoma hujui na picha huoni,Magufuli kaipamnania sana Chato kutoka kuwa kijijimpaka kuwa wilaya ni juhudi zaje binafsi na alitaka iwe mkoa kabisa,sasa hivi Chato mjini kumedorora mno tangu afariki.mimi naandika haya nikiwa Chato so nafahamu
Hakuna raisi alikua muwazi kama JPM...

Kwasababu ya kujiamini aliweza kutamka mipango yake mingi hadharani bila kujali watu watamuonaje!

Iwe mipango ya hovyo au mizuri...

Hili la Chato kua mkoa kwanini alifanye kimyakimya? Alimuogopa nani?
 
Hakuna raisi alikua muwazi kama JPM...

Kwasababu ya kujiamini aliweza kutamka mipango yake mingi hadharani bila kujali watu watamuonaje!

Iwe mipango ya hovyo au mizuri...

Hili la Chato kua mkoa kwanini alifanye kimyakimya? Alimuogopa nani?
Muda ulikuwa haujafika tu
 
Chato ni kitovu cha uhifadhi na utalii🐒
1000016032.jpg
 
Muda ulikuwa haujafika tu
Mkuu unaonekana una uwezo mkubwa sana wa kutambua yaliyo akilini na rohoni mwa mtu!

Au ulikua katibu muhtasi wa Magufuli!

Magufuli alitangaza ujenzi wa Stiglers Gorge na dunia yote ikawa kinyume nae ila bwawa likajengwa...

Aliogopaje hili la mkoa wa Chato?

Umenikumbusha Kizimkazi, unataka kuniambia na penyewe panaenda kua mkoa?

Maana miundombinu inajengwa kila kona hapo...
 
Hakuna raisi alikua muwazi kama JPM...

Kwasababu ya kujiamini aliweza kutamka mipango yake mingi hadharani bila kujali watu watamuonaje!

Iwe mipango ya hovyo au mizuri...

Hili la Chato kua mkoa kwanini alifanye kimyakimya? Alimuogopa nani?
Angalau msipa wake wa aibu ulikuwa active kuhusu kutaja Mkoa mpya wa Chato lakini Nina uhakika angehai Leo Chato ingeshakuwa Mkoa. Katika kioindi kifupi Cha miaka yake SITA CHATO ilipata Airport, Hospitali ya Rufaa ya Kanda, TRA Mkoa, Five Star hotel ya kitalii, BURIGI kuwa BURIGI CHATO etc.
 
Angalau msipa wake wa aibu ulikuwa active kuhusu kutaja Mkoa mpya wa Chato lakini Nina uhakika angehai Leo Chato ingeshakuwa Mkoa. Katika kioindi kifupi Cha miaka yake SITA CHATO ilipata Airport, Hospitali ya Rufaa ya Kanda, TRA Mkoa, Five Star hotel ya kitalii, BURIGI kuwa BURIGI CHATO etc.
Kwamba hayo yote aliyafanya kwa uwazi ila la kua mkoa akaona aibu kulisema?
 
Kwamba hayo yote aliyafanya kwa uwazi ila la kua mkoa akaona aibu kulisema?
Kwamba wewe ulikuwa nje ya nchi hadi usijue habari ya uporaji wa fedha za watanzania kule Hazina na kupelekea kujenga miradi isiyokuwa kwenye Mpango wala kupitishwa na Bunge?

Kwamba umemsahau hadi habari tri. 1.5 zikizotumika kujenga Uwanja wa ndege Chato bila kuifhinishwa na Bunge?

Basi una mahaba binafsi na Jiwe.
 
Kwamba wewe ulikuwa nje ya nchi hadi usijue habari ya uporaji wa fedha za watanzania kule Hazina na kupelekea kujenga miradi isiyokuwa kwenye Mpango wala kupitishwa na Bunge?

Kwamba umemsahau hadi habari tri. 1.5 zikizotumika kujenga Uwanja wa ndege Chato bila kuifhinishwa na Bunge?

Basi una mahaba binafsi na Jiwe.
Umehama mada au unajaribu kujenga hoja?

Kama umehama mada, nijibu haya...

Weka ushahidi hapa wa huo uporaji wa fedha za hazina kipindi cha Magufuli!

Weka ushahidi hapa wa uwanja wa Chato kujengwa kwa 1.5 trilioni.
 
Hivi hii issue ya mkoa wa Chato mna uhakika ni mawazo ya Magufuli?

Kabla hajafariki sikuwahi kusikia mambo ya Chato kua mkoa!

Hua mna maana gani kumlisha maneno Magufuli?

Hii ni sawa na wale waliotangaza eti Magufuli anataka kubadili katiba atawale milele!

Ukiwauliza ulisikia wapi hawana jibu.
Hukujua kuwa Magufuli alitaka kuwe na mkoa wa Chato kwa vile una akili isiyojaa kijiko cha chai. Pole sana
 
Umehama mada au unajaribu kujenga hoja?

Kama umehama mada, nijibu haya...

Weka ushahidi hapa wa huo uporaji wa fedha za hazina kipindi cha Magufuli!

Weka ushahidi hapa wa uwanja wa Chato kujengwa kwa 1.5 trilioni.
Nenda kasomee taarifa ya CAG. Hilo halikiwa Siri. Hizo tri. 1.5 CAG ndo aliyeibua na Jiwe akamuondoa CAG kinyume na Katiba ya nchi.

Kama unaoenda ligi binafsi basi endelea. Yangu ni hayo tu.
 
Nenda kasomee taarifa ya CAG. Hilo halikiwa Siri. Hizo tri. 1.5 CAG ndo aliyeibua na Jiwe akamuondoa CAG kinyume na Katiba ya nchi.

Kama unaoenda ligi binafsi basi endelea. Yangu ni hayo tu.
Hakuna ligi hapa...

Hapa tunajadili lakini kwa fact sio kwa chuki...

Leta hiyo taarifa tuisome wote, ni wewe ndio umeileta kwenye mada hii.
 
Back
Top Bottom