mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
- Thread starter
- #21
Ni lini aliwahi kutangaza kuhusu unenzi wa Chato international Airport? Lakini ulijengwa kimya kimya fasta mpaka ulipokamilikaMkuu unaonekana una uwezo mkubwa sana wa kutambua yaliyo akilini na rohoni mwa mtu!
Au ulikua katibu muhtasi wa Magufuli!
Magufuli alitangaza ujenzi wa Stiglers Gorge na dunia yote ikawa kinyume nae ila bwawa likajengwa...
Aliogopaje hili la mkoa wa Chato?
Umenikumbusha Kizimkazi, unataka kuniambia na penyewe panaenda kua mkoa?
Maana miundombinu inajengwa kila kona hapo...