Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi Mkoa wa Katavi wanatangaza Utalii?Usambara milima yake inapakana na mikoa mingapi? Ila una hoja ya kutangaza utalii .
Unaijua ilipo SIHA?NA IMEPAKANA NA WILAYA GANI?Wilaya ya Siha si sehemu ya Kilimanjaro wamejaa Masai na wageni iende mkoa mpya huo wa korogwe
Tena ngumi kavukavu na mishale juuTeh teh! Wasambaa wameitamani ndungu, kihurio na hedaru! Hamegi mtu mkoa hapa! Tutazichapa
Hii jiografia yako kibokoWilaya ya Siha si sehemu ya Kilimanjaro wamejaa Masai na wageni iende mkoa mpya huo wa korogwe
Ni kweli mchaga na Mzaramo ni Mbingu na ardhi.....huwezi mkuta Mzaramo kwenye miji ya watu anauza au muhudumu wa Bar. Na nadra pia kumkuta mikoani/vijijini kwenu anafanya makazi ya kudumu na haitatokea labda awe anafanya kazi.Njombe kilimo Cha miti na mbao kinasaidia na swala sio kugaiwa huo mkoa mzee. Ingekuwa kugawa ni maendeleo basi Manyara ingeshapaa kiuchumi ukiongeza na katavi
Ni sahihi kabisa
Wilaya ya handeni kubwa mno ilistahili iwe hata mkoa siku byingi
Ungeitwa mkoa wa Handeni ingependeza zaidi sababu ndio Handeni inapakana na mikoa ya Tanga,Kilimanjaro,Pwani na Morogoro.
Ok uundwe tu hata uitwe korogwe sawa ila Handeni ndio ingependeza zaidi
Ngoma ni starehe yao...kama mchaga na pombe. Alafu kwenye ngono mzaramo hamzidi mpare. Wapare ndio wapenda ngono wanawake kwa wanaume.Mmh mm nimpare ila huwezi mfananisha mchaga na mzaramo ,mzaramo akipata hela yy anawaza kwenda kwenye ngoma na ngono
Siyo chato tena?Sawa uundwe mkoa , wilaya hizo zirudi kuwa part ya mkoa mpya wa Handeni
Mwambie huyo kilaza wa lumumbaUnajua mambo ya ccm tu ila geography hujui siha Iko karibia na arusha
Kichwani kwako ni kutupuAustralia ,Canada na Newzealand kiongozi wake Ni malkia wa Uingereza sembuse mkoa wa Handeni?
Mambo ya ajabu kabisaKilimanjaro unamega nini...... the region is tiny
Ndivyo na mm nilivyosikia kuwa utaitwa mkoa wa Usambara kwa kuchukua Kilindi ,Handeni itagawanyika mara2 ,Lushoto,Korogwe yenyewe .Alafu mkoa wa Tanga unabaki na Tanga jiji,Pangani,Mheza na Mkinga.Kwanini wasiiupe jina la Milima ya Usambara,wauite Mkoa wa Usambara.
| Na. | Jimbo | Idadi ya Wakazi | Eneo (km²) | Makao makuu | Mikoa ya baadaye |
|---|---|---|---|---|---|
| 1. | Kati | 886,962 | 94,301 | Dodoma | Dodoma, Singida |
| 2. | Mashariki | 955,828 | 107,630 | Dar es Salaam | Pwani (kisehemu), Morogoro |
| 3. | Dar es Salaam | 128,742 | 1,393 | Dar es Salaam | Pwani (kisehemu) |
| 4. | Ziwani | 1,731,794 | 107,711 | Mwanza | Mara, Mwanza, Shinyanga (kisehemu) |
| 5. | Ziwa Magharibi | 514,431 | 28,388 | Bukoba | Ziwa Magharibi |
| 6. | Kaskazini | 772,434 | 85,374 | Arusha | Arusha, Kilimanjaro (kisehemu) |
| 7. | Kusini | 1,014,265 | 143,027 | Mtwara | Mtwara, Ruvuma |
| 8. | Nyanda za Juu za Kusini | 1,030,269 | 119,253 | Mbeya | Iringa, Mbeya (kisehemu) |
| 9. | Tanga | 688,290 | 35,750 | Tanga | Kilimanjaro (kisehemu), Tanga |
| 10. | Magharibi | 1,062,598 | 203,068 | Tabora | Kigoma, Mbeya (kisehemu), Shinyanga (kisehemu), Tabora |
Tumalizane na Chato kwanza halafu twende Tabora then Morogoro kabla ya hukoMkoa mpya wa Korogwe utaimega mikoa ya Kilimanjaro, Tanga, Pwani na Morogoro.
Ngoja tuone.
Si ndio akawa mswahili anawaza ngoma tu mkuu na sio investment kabisa yeye ngoma tuNi kweli mchaga na Mzaramo ni Mbingu na ardhi.....huwezi mkuta Mzaramo kwenye miji ya watu anauza au muhudumu wa Bar. Na nadra pia kumkuta mikoani/vijijini kwenu anafanya makazi ya kudumu na haitatokea labda awe anafanya kazi.
Labda hedaru,hiyo Lembeni si ni Mwanga huko mkuu?Lembeni inakuja Korogwe!
Endelea kukariri!HUYU JAMAA ALIYELETA HII THREAD KALETA KITU ANACHOFIKIRIA YEYE NA KUTAMANI .
SIO KWELI NA HAKUNA JAMBO HILO