TUKANA UONE
JF-Expert Member
- Jan 3, 2018
- 2,345
- 6,970
Habari za mihangaiko wakuu
Kwanza kabisa niwape pole wanawake wa dar kwasababu kila uchwao hali si hali kunako 6×6.
Nimeamua nitumie haka ka muda kadogo niliko nako kuwapa pole sana kina dada wote wa dar kwasababu ya kile kinachoitwa "WANAUME WA DAR",
KABLA YA KUENDELEA HEBU TUANGALIE SIFA ZINAZOFANYA MPAKA UITWE "MWANAUME WA DAR"
1.KULA SEMBE BADALA YA DONA.
2.KULA CHIPS BADALA YA KANDE.
3.KUNG'ANG'ANIA SITI KWENYE
DALADALA UKAE HALAFU MWANAMKE ASIMAME.
4.KUPIGA SELFIE BADALA YA KUPIGA KAZI
5.KUPIGA KAMOKO USIKU KUCHA NA KULALA HOI UTADHANI MLALA HOI
6.KUPOTEZA MUDA MWINGI KWENYE KIOO
7.KULA KUKU WA BLOILA BADALA YA KULA KONGORO
8.KUVAA NGUO ZIMEBANA MPAKA MAPAJA
YES hizo ni sifa baadhi ya wanaume wa dar na kama wewe pia unazifahamu waweza ongeza za kwako ili twende sawia.
Kitu kibaya zaidi mpaka wanaume wengine wa mikoani tulio amini wangeenda dar na kufuta hiyo aibu ya kuitwa "WANAUME WA DAR" nao wame-adapti hali hiyo hiyo,KUNA KILA SABABU WANAUME WA MIKOANI KUAMIA DAR KWA WINGI ILI KUJA KUFUTA HII AIBU NA KASHFA DHIDI YA WANAUME.
Anyway-:MAPOVU RUKSA KWA MAANA YANAHITAJIKA SANA YAKADEKIE CHOO CHA UWANJA WA NANGWANDA SIJAONA
View attachment peterzeprezident__video_1539588719300.mp4
Kwanza kabisa niwape pole wanawake wa dar kwasababu kila uchwao hali si hali kunako 6×6.
Nimeamua nitumie haka ka muda kadogo niliko nako kuwapa pole sana kina dada wote wa dar kwasababu ya kile kinachoitwa "WANAUME WA DAR",
KABLA YA KUENDELEA HEBU TUANGALIE SIFA ZINAZOFANYA MPAKA UITWE "MWANAUME WA DAR"
1.KULA SEMBE BADALA YA DONA.
2.KULA CHIPS BADALA YA KANDE.
3.KUNG'ANG'ANIA SITI KWENYE
DALADALA UKAE HALAFU MWANAMKE ASIMAME.
4.KUPIGA SELFIE BADALA YA KUPIGA KAZI
5.KUPIGA KAMOKO USIKU KUCHA NA KULALA HOI UTADHANI MLALA HOI
6.KUPOTEZA MUDA MWINGI KWENYE KIOO
7.KULA KUKU WA BLOILA BADALA YA KULA KONGORO
8.KUVAA NGUO ZIMEBANA MPAKA MAPAJA
YES hizo ni sifa baadhi ya wanaume wa dar na kama wewe pia unazifahamu waweza ongeza za kwako ili twende sawia.
Kitu kibaya zaidi mpaka wanaume wengine wa mikoani tulio amini wangeenda dar na kufuta hiyo aibu ya kuitwa "WANAUME WA DAR" nao wame-adapti hali hiyo hiyo,KUNA KILA SABABU WANAUME WA MIKOANI KUAMIA DAR KWA WINGI ILI KUJA KUFUTA HII AIBU NA KASHFA DHIDI YA WANAUME.
Anyway-:MAPOVU RUKSA KWA MAANA YANAHITAJIKA SANA YAKADEKIE CHOO CHA UWANJA WA NANGWANDA SIJAONA