BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
Tanzania ni nchi kubwa kwa eneo na wachache pekee ndio wamepata fursa ya kuizunguka na kufahamu huku wengi wetu tofauti na mazingira yanayotuzunguka tumekuwa hatuna taarifa na uelewa wa sehemu nyingine za nchi yetu pendwa Tanzania.
Ni jukumu la Kila Raia wa Tanzania kwa nafasi yake kutangaza mazuri yanayopatikana nchini Tanzania sambamba na fursa za kiuchumi zilizopo eneo analoishi hii itasaidia kuwavutia wawekezaji kuja kuwekeza eneo husika na kuleta matokeo yenye tija kwa Taifa kama ajira na kodi kwa serikali.
Mimi naishi mkoa wa Kagera wilaya ya Missenyi napenda kuwafahamisha wale wote ambao hamjawahi kufika mkoa huu wa kaskazini magharibi mwa Tanzania kuwa huu ni miongoni mwa mikoa michache iliyobarikiwa kuwa na vyanzo vingi vya maji nchini Tanzania.
Na hilo ni kutokana na uwepo wa ziwa kubwa Africa ziwa viktoria na maziwa mengine madogo yanayopatikana katika wilaya za mkoa huu pamoja na mito na vijito vingi katika sehemu mbalimbali zilizofanya mazingira ya mkoa kagera kuwa kijani huku hali ya hewa ikiwa kati yaani si baridi wala joto.
Kama ilivyo sehemu yoyote yenye vyanzo vingi vya maji ni kuwa Fursa zinazopatika huko na mkoani Kagera zinapatikana kama kilimo Cha umwagiliaji, utalii na uvuvi.
From northern part of Tanzania.
Ni jukumu la Kila Raia wa Tanzania kwa nafasi yake kutangaza mazuri yanayopatikana nchini Tanzania sambamba na fursa za kiuchumi zilizopo eneo analoishi hii itasaidia kuwavutia wawekezaji kuja kuwekeza eneo husika na kuleta matokeo yenye tija kwa Taifa kama ajira na kodi kwa serikali.
Mimi naishi mkoa wa Kagera wilaya ya Missenyi napenda kuwafahamisha wale wote ambao hamjawahi kufika mkoa huu wa kaskazini magharibi mwa Tanzania kuwa huu ni miongoni mwa mikoa michache iliyobarikiwa kuwa na vyanzo vingi vya maji nchini Tanzania.
Na hilo ni kutokana na uwepo wa ziwa kubwa Africa ziwa viktoria na maziwa mengine madogo yanayopatikana katika wilaya za mkoa huu pamoja na mito na vijito vingi katika sehemu mbalimbali zilizofanya mazingira ya mkoa kagera kuwa kijani huku hali ya hewa ikiwa kati yaani si baridi wala joto.
Kama ilivyo sehemu yoyote yenye vyanzo vingi vya maji ni kuwa Fursa zinazopatika huko na mkoani Kagera zinapatikana kama kilimo Cha umwagiliaji, utalii na uvuvi.
From northern part of Tanzania.