Mkoa wa Kagera umebarikiwa kuwa na vyanzo vingi vya maji

Mkoa wa Kagera umebarikiwa kuwa na vyanzo vingi vya maji

Kaja lile si ni tingatinga. Hivi kule hawawezi kulima mpunga maana maji ya kutosha na rutuba nyingi ila kuna tope sana. Wakiletwa wawekezaji lile tingatinga sijawahi ona mwisho wake nahisi linaweza toa mpunga tani laki kadhaa kwa mwaka
Ile tinga tinga sijui inaishiaga wap.

Baada ya kutoka bukoba Kama unaelekea kyaka Kuna maziwa sijui mabwawa yanaonekana yanaunganika na hizo tingatinga
 
Kagera bukoba
2019-11-11.jpg
2018-02-01.jpg
IMG-20190414-WA0048.jpg
1980142_5.jpg
IMG_20200401_103705.jpg
1980136_13201.jpg
Screenshot%20(20210216-180619).jpg
Screenshot%20(20210216-175708).jpg
hjyii.PNG
 
Back
Top Bottom