BabaMorgan JF-Expert Member Joined Dec 18, 2017 Posts 4,869 Reaction score 13,137 Sep 3, 2021 Thread starter #21 Igombe fisherman said: Kumbe fusa zipo mi nimejibanza kerebe tu Click to expand... Fursa zinatafutwa hazitafuti mtu.
Igombe fisherman said: Kumbe fusa zipo mi nimejibanza kerebe tu Click to expand... Fursa zinatafutwa hazitafuti mtu.
instanbul JF-Expert Member Joined Jun 26, 2016 Posts 12,037 Reaction score 17,212 Sep 3, 2021 #22 T14 Armata said: Kaja lile si ni tingatinga. Hivi kule hawawezi kulima mpunga maana maji ya kutosha na rutuba nyingi ila kuna tope sana. Wakiletwa wawekezaji lile tingatinga sijawahi ona mwisho wake nahisi linaweza toa mpunga tani laki kadhaa kwa mwaka Click to expand... Ile tinga tinga sijui inaishiaga wap. Baada ya kutoka bukoba Kama unaelekea kyaka Kuna maziwa sijui mabwawa yanaonekana yanaunganika na hizo tingatinga
T14 Armata said: Kaja lile si ni tingatinga. Hivi kule hawawezi kulima mpunga maana maji ya kutosha na rutuba nyingi ila kuna tope sana. Wakiletwa wawekezaji lile tingatinga sijawahi ona mwisho wake nahisi linaweza toa mpunga tani laki kadhaa kwa mwaka Click to expand... Ile tinga tinga sijui inaishiaga wap. Baada ya kutoka bukoba Kama unaelekea kyaka Kuna maziwa sijui mabwawa yanaonekana yanaunganika na hizo tingatinga
instanbul JF-Expert Member Joined Jun 26, 2016 Posts 12,037 Reaction score 17,212 Sep 3, 2021 #23 Kagera bukoba
mafiakisiwani JF-Expert Member Joined Feb 19, 2011 Posts 833 Reaction score 616 Sep 3, 2021 #24 Hongereni bukoba