Tetesi: Mkoa wa Mara kugawanywa

Tetesi: Mkoa wa Mara kugawanywa

Kuna taarifa ambazo bado ni tetesi kuwa Mkoa wa Mara unategemea kugawanywa na kuwa mikoa miwili, Taarifa zinasema, kutakuwa na Mkoa wa Mara kaskazini na Mara kusini, hali kadhalika, wilaya kadhaa zitaongezeka ili kukidhi mahitaji ya kimkoa.

Taarifa zinadai kuwa, Makao makuu wa Mkoa mpya wa Mara kaskazini yatakuwa UTEGI ambapo kutakuwa na wilaya kama RORYA, SHIRATI, TARIME, SIRALI na Nyamongo, hivo hivo, Mkoa mpya wa Mara kusini utabaki na wilaya zake kama Msoma mjini, Butiama, Serengeti, na wilaya zingine.

Haijafahamika mara moja nia na dhumuni la kuugawa huu mkoa, ila kwa maoni yangu, sioni sababu ya kuugawa huu mkoa.
Hizi Bangi sasa huyu hajui anachosema na jiography ya wilaya za Tarime na Rorya hazijui ndio maana kaandika uharo huuu acha ujinga mrisya.
 
Wabaongeza mikoa ili wapate fursa za utawala huku ajira nyingine zikiwa bado kitendawili.

Any away, na sisi watu wa Majita tunataka mkoa wetu ambao makao makuu yake yatakuwa BUKIMA
 
Wengine wanaumiza kukuza uchumi wa nchi zao, kwenda anga za juu kuhangaika na chunguzi za kisayansi, kuongeza ajira n.k. sisi tunahangaika kugawa mikoa.
 
Mh Rais akipokuwa nzega ziarani Mh Mbunge wa nzega waliomba augawe Mkoa wa Tabora ili nzega iwe mkoa, Mh mbele ya ummati alikataa ombi hilo akasema serikali yake haina mpango kabisa wakuongeza mikoa wasahau
 
Huku tunakoenda hata makabila makubwa yatakuja kugawanywa nimestuka!


Sawa tu hata kama hayo unayoyaita Makabila yakigawanywa kwani yaliundwa na Mzungu, kabla ya Mzungu kuja hayakuwepo mahali yalipo na mengi hayakuitwa yanavyoitwa leo!
 
Kuna taarifa ambazo bado ni tetesi kuwa Mkoa wa Mara unategemea kugawanywa na kuwa mikoa miwili, Taarifa zinasema, kutakuwa na Mkoa wa Mara kaskazini na Mara kusini, hali kadhalika, wilaya kadhaa zitaongezeka ili kukidhi mahitaji ya kimkoa.

Taarifa zinadai kuwa, Makao makuu wa Mkoa mpya wa Mara kaskazini yatakuwa UTEGI ambapo kutakuwa na wilaya kama RORYA, SHIRATI, TARIME, SIRALI na Nyamongo, hivo hivo, Mkoa mpya wa Mara kusini utabaki na wilaya zake kama Msoma mjini, Butiama, Serengeti, na wilaya zingine.

Haijafahamika mara moja nia na dhumuni la kuugawa huu mkoa, ila kwa maoni yangu, sioni sababu ya kuugawa huu mkoa.
Ingegawanywa Morogoro
 
Nchi hii hakuna kinachoshindikana,kwani Mkoa wa Katavi una population ipi ya kuwa mkoa?
Kugawa mkoa kunaangalia vigezo vingi, kimojawapo ni ukubwa wa eneo husika sambamba na ulahisi wa utolewaji wa huduma za kiutawala.

Kwa mfano Katavi kabla haijaenguliwa kutoka Rukwa kulikuwa na maeneo mf. Tarafa ya Karema ni kilometa 350 kufika makao makuu ya mkoa yaani Sumbawanga,baadhi ya maeneo ya mwese na mishamo ni kilometa hadi 400 ili kufika makao makuu ya mkoa.sababu kama hizi pia huangaliwa katika kusogeza huduma za kiutawala kwa wananchi.Tusibeze kila kitu.
 
Ugawanywe tuu, ni eneo kubwa sana kijiografia, kama katavi, ambayo ni wilaya ya mpanda tu,si no sawa na Tarime tu kuwa mkoa
Kugawa mkoa kunaangalia vigezo vingi, kimojawapo ni ukubwa wa eneo husika sambamba na ulahisi wa utolewaji wa huduma za kiutawala.

Kwa mfano Katavi kabla haijaenguliwa kutoka Rukwa kulikuwa na maeneo mf. Tarafa ya Karema ni kilometa 350 kufika makao makuu ya mkoa yaani Sumbawanga,baadhi ya maeneo ya mwese na mishamo ni kilometa hadi 400 ili kufika makao makuu ya mkoa.sababu kama hizi pia huangaliwa katika kusogeza huduma za kiutawala kwa wananchi.
 
Back
Top Bottom