Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mara Region is one of Tanzania's 30 administrative regions. The regional capital is the municipality of Musoma. According to the 2012 national census, the region had a population of 1,743,830, which was lower than the pre-census projection of 1,963,460.[1] laki nane umeitoa wapi mkuu?Mara nzima ina watu laki nane kwahiyo kila mkoa utakua na watu laki nne nne oky sio mbaya
Kama ni hivyo mbona kagera haigawanywi maana kutoka ngara hadi makao makuu BUKOBA km 400,biharamulo km300 na kyerwa 165 mbona mkoa haugawanywi mi sijui wanatumia vigezo gani?Kugawa mkoa kunaangalia vigezo vingi, kimojawapo ni ukubwa wa eneo husika sambamba na ulahisi wa utolewaji wa huduma za kiutawala.
Kwa mfano Katavi kabla haijaenguliwa kutoka Rukwa kulikuwa na maeneo mf. Tarafa ya Karema ni kilometa 350 kufika makao makuu ya mkoa yaani Sumbawanga,baadhi ya maeneo ya mwese na mishamo ni kilometa hadi 400 ili kufika makao makuu ya mkoa.sababu kama hizi pia huangaliwa katika kusogeza huduma za kiutawala kwa wananchi.Tusibeze kila kitu.
PointKwanza population itatosha ?
hivi ili mkoa uwe mkoa wanajua unahitaji population ya watu wangapi?
Wanapanua tu matumizi baada ya kubana matumizi shame on you........
Bunda itapelekwa wapi??Kuna taarifa ambazo bado ni tetesi kuwa Mkoa wa Mara unategemea kugawanywa na kuwa mikoa miwili, Taarifa zinasema, kutakuwa na Mkoa wa Mara kaskazini na Mara kusini, hali kadhalika, wilaya kadhaa zitaongezeka ili kukidhi mahitaji ya kimkoa.
Taarifa zinadai kuwa, Makao makuu wa Mkoa mpya wa Mara kaskazini yatakuwa UTEGI ambapo kutakuwa na wilaya kama RORYA, SHIRATI, TARIME, SIRALI na Nyamongo, hivo hivo, Mkoa mpya wa Mara kusini utabaki na wilaya zake kama Msoma mjini, Butiama, Serengeti, na wilaya zingine.
Haijafahamika mara moja nia na dhumuni la kuugawa huu mkoa, ila kwa maoni yangu, sioni sababu ya kuugawa huu mkoa.
Muda si mrefu kila kata itakuwa wilaya.Kuna taarifa ambazo bado ni tetesi kuwa Mkoa wa Mara unategemea kugawanywa na kuwa mikoa miwili, Taarifa zinasema, kutakuwa na Mkoa wa Mara kaskazini na Mara kusini, hali kadhalika, wilaya kadhaa zitaongezeka ili kukidhi mahitaji ya kimkoa.
Taarifa zinadai kuwa, Makao makuu wa Mkoa mpya wa Mara kaskazini yatakuwa UTEGI ambapo kutakuwa na wilaya kama RORYA, SHIRATI, TARIME, SIRALI na Nyamongo, hivo hivo, Mkoa mpya wa Mara kusini utabaki na wilaya zake kama Msoma mjini, Butiama, Serengeti, na wilaya zingine.
Haijafahamika mara moja nia na dhumuni la kuugawa huu mkoa, ila kwa maoni yangu, sioni sababu ya kuugawa huu mkoa.
Kwanza population itatosha ?
hivi ili mkoa uwe mkoa wanajua unahitaji population ya watu wangapi?
Wanapanua tu matumizi baada ya kubana matumizi shame on you........
This can't be true.How on hell can the government and CCM do that.This will be extremely poor timing on the part of CCM.To me CCM needs to do only those things which will benefit and impress the wananchi."Unless this is in preparation for the 2020 elections."Kwanza population itatosha ?
hivi ili mkoa uwe mkoa wanajua unahitaji population ya watu wangapi?
Wanapanua tu matumizi baada ya kubana matumizi shame on you........
wagawanye ili uwatawale vizuri zaidi...Mkuu, yaan mimi sijapenda kabisa huu mkoa ugawanywe, wauache hivo hivo, mimi ni wa huko, ila hili swala la kuugawa silipendi kabisa,