Bill of Quantity
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 1,233
- 406
Habari za mchana wadau?
Nina mpango wa kuhamia kanda ya ziwa,
specifically mkoa wa Mara, Tarime.
Naomba kwa wenyji mnitoe upofu, kuna fursa gani za kibiashara huko?
..............................................
Naombeni miongozo kabla sijafanya maamuzi.
Nina mpango wa kuhamia kanda ya ziwa,
specifically mkoa wa Mara, Tarime.
Naomba kwa wenyji mnitoe upofu, kuna fursa gani za kibiashara huko?
..............................................
Naombeni miongozo kabla sijafanya maamuzi.