Mkoa wa Mbeya Wavunja rekodi ya Makusanyo ya Mapato kwa asilimia 105% Mwaka 2021/2022

Mkoa wa Mbeya Wavunja rekodi ya Makusanyo ya Mapato kwa asilimia 105% Mwaka 2021/2022

Boss ni Mwanza ipi unayosema Mwanza ya Somalia, Karagwe, Mpitimbi, Dareda , Malinyi au Kibondo? kwani Mwanza we umewahi kufika au umeona picha tu za mnara wa samaki kwenye mji mdogo unaoitwa Jiji?

Mwanza ina Barabara za maana mbili tu Kenyatta na Nyerere!! mji mzima magari yanazigombania!!

Barabara muhimu za kuunganisha mji kupunguza foleni na kujivunia jiji zote bado ni za vumbi tangu ukoloni

mfano

1.Kisesa to Buhongwa kupitia Kakebe sijui machinjioni huko kwenda kanyerere sijui Maina hadi kuungana na Kenyatta road kwenda Buhongwa na Nyashishi ni mavumbi tu yanatimka na mashimo tu lami haina tangu ukoloni sidhani kama hilo eneo lina mbunge mwenye akili au nia ya kujali watu waliozoea kula mavumbi!!

2. Barabara kutoka Butimba kona kwenda Sweya ni muhimu ila ni ya mavumbi matupu na mashimo lami hamna tangu ujima

3. Barabara kutoka Kisesa kwenda Kayenze ni ya muhimu kuelekea visiwani nayo ni ya mavumbi na mashimo lami haina tangu uhuru

4. Barabara ya Kutoka Airport kwenda Igombe ni mavumbi matupu na mashimo lami haina

Binafsi huwa sielewi na nachukia Mwanza kuitwa Jiji maana sijui ina vigezo gani vya kuitwa Jiji!!

Mavumbi yanatimka tu mji mzima!! Barabara ni mbili tu za lami!

Hali ni ngumu sana viwanda hakuna business kubwa ni dagaa na samaki tu tena vina msimu!

Mji mzuri kutokana na ziwa ila hauna miundombinu ya utalii wazungu wa kuhesabu!

Hebu wahusika wa Tanroads oneni aibu wekeni lami Feeder Roads zote mji ufanane kuitwa Jiji
Pole sana. Yaani ulichoandika ni uharo mtupu. Eti Mwanza INA Barabara mbili tu za lami ! Nadhani siyo kosa lako ni mmea wa Arusha
 
wahusika wanajua nimesema ukweli na barabara nilizowatajia huwa wanapita na magari na kuwatimulia raia vumbi!!

Mtu ukiwa Dar ukaambiwa unaenda Jijini Mwanza unarukaruka ukifika jiji hulioni mavumbi tupu yanatimka unapotoka tu kwa hizo two main roads Kenyatta na Nyerere!!
Mbona hujazungumzia Buzuruga - pasiansi ? Sabasaba- Airport ? Nyakato still - Buswelu ? Mbona kote huko lami ? Vipi Usagara - Kisesa ? Mona ni lami tu ?
Wivu wa Mwanza unakutesa sana poeee
 
This is purely an opinion of an outsider from Mara!

I have no intention of nothing!I

I had a lovely picture of Mwanza as a big and rich city in my mind but when I saw the town's rough roads I laughed and thought of the role of Members of Parliament fr5om Mwanza constituencies kuwa "kazi yao kupiga meza tu"!!
Tuambie we we unatoka mji gani kwanza
 
mi fala bin farasi ila ukweli unauma sindano na dawa vimeingia. mi si wa Mwanza boss ni kweli ndo maana nimeona mapungufu yenu kwetu Mara tunakula kichuli!
jiji gani limejaa barabara za vumbi nje kidogo tu ya city centre! punguzeni vumbi mjini!!
Omeraaa
Nilidhani una akili kumbe punga tu
 
Msiwe mnalinganisha Jiji la Mwanza na vitu vya kijinga kama eti Mbeya !
 
Back
Top Bottom