LGE2024 Mkoa wa Tanga pekee ndio umevuka lengo la Uandikishaji Wapiga kura Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa kuandikisha 101.13%

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Weka chanzo cha habari tukidadavue.
 
Utapewa namba yake wakati unaongea na Mrema.
Watakuwa wamepewa ruhusa toka kwa mzee wetu ,nisamehe nauliza hivyo kwa maana hiki chama kila mwanachama ana masharubu sasa sijui ni sera ya chama au ni idhini ya mzee?
 
THIS IS STUPIDITY OF THE HIGHEST DEGREE! kuna siku mtalia
Hii ilikuwa Liberia search utaona mnachokifanya kuna siku tutakuwa hatupo tumekufa vizazi vitasoma vitabu vy akina Mdude....watalipiza kisasi. acheni huo ujinga....

In 1980, Liberian ministers were lined up on a beach. Facing a firing squad.
 
My observation ni kuwa watu wamegoma kujiandikisha, .................................... johnthebaptist
I am not living in Tanga but i am a regular visitor of tanga as I have my houses there
 
Mpina aliisha sema mawaziri na manaibu waziri zaidi ya 10 wanatoka mkoa wa Tanga. Unategemea nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…