Mkoa wangu wa Kagera tunakwama wapi?

Mkoa wangu wa Kagera tunakwama wapi?

kiwatengu

Platinum Member
Joined
Apr 6, 2012
Posts
18,585
Reaction score
16,780
Wakuu mambo vipi?

Mimi ni mzaliwa wa Wilaya ya Misenyi mkoa wa Kagera, Kijiji cha Rusinga! Pia Nsunga ni kwetu.

Nimekulia mkoa wa Kilimanjaro so Naifahamu Kagera vizuri na Naifahamu Kilimanjaro vizuri sana.

Hoja yangu naileta kutokana na Spika Ndugai jana kutuzodoa wana Kagera kuwa hatuna kitu tena yale mambo ya Nshomile hakuna tena, akadiriki kabisa kutufananisha na Dodoma kwao.

Alinifanya niutafakari vizuri huu mkoa wangu ninaoupenda na kulinganisha na alichokisema, Hatuna chuo Kikuu hata kimoja mbali na Open University.

Nini kisababishi? Mbona mkoa wetu wa Kagera umetoa wasomi wengi ukilinganisha na Mkoa wa Kilimanjaro ambao kijiografia ni mdogo sana?

Maprofesa waliotoka Kagera ni wengi, nini kilikwamisha uwekezaji wa Elimu Kagera? Kama ni maeneo tunayo yakutosha mandhari nzuri na zakuvutia wenyeji mnajua, hali ya hewa ni safi sana. Ukiwa Biharamulo kwenda Muleba, ukija mpaka Bukoba Rural, Misenyi, Kyerwa, Karagwe na Ngara mazingira ni mazuri sana.

Huwa naifurahia sana hali ya hewa ya kijijini kwetu Rusinga walikozikwa mababu zangu.

Tuwekeze kwenye Elimu kwani ndio sehemu/kitu wana Kagera wanaweza kukifanya kwa ufanisi wa hali ya juu.

Vilevile tunapopata fursa hasa tunapokuwa kwenye vyombo vya maamuzi tusisahau kwetu. Mheshimiwa Byabato kama uko huku jukwaani please! Kwasasa tu privilege mkoa wetu tuepuke kunangwa nangwa na kina Ndugai.

Kaka Bashungwa hebu fanyeni namna kuendeleza Kagera yetu, Kielimu na miundo mbinu.

Hivi mnajua Kilimanjaro wao wanashule na vyuo kibao? Na isitoshe hata miundo mbinu yao mingi iko vizuri. Makao makuu yote ya wilaya zao zimeunganishwa kwa lami.

Hata sisi tunaweza kukijipa kipaumbele,pia watu mnaowapa connection wahamasisheni wakajenge kwao Kagera.

Ndugu yangu Mhe. Mhandisi Ezra John Chiwelesa Ipambanie Biharamulo maeneo yapo yakutosha tafuta wawekezaji kipaumbele kiwe elimu

Steven L. Byabato nimeshakusemea hapo juu Bukoba must Change!

Bukoba Vijijin inakutegemea sana Bwana Rweikiza Jasson. Hamasisha uwekezaji wa Vyuo.

Kule Kyerwa Mheshimiwa Innocent Sebba Bilakwate. Shirikiana vizuri na Bashungwa Karagwe na Kyerwa ziendelee sana.

Waheshimiwa wa Muleba Kazkazini na Kusini inapaswa kupaa kimaendeleo, msiendelee kuchelewa.

Mheshimiwa Ndaisaba Ruhoro Ngara bado iko nyuma sana kimaendeleo amkaa.

Mbunge wangu wa Nkenge Mheshimiwa Florent Kyomo sijui utafanyaje but Nkenge na Misenyi yote wanatakiwa kuendelea.

Kingine tujenge utamaduni wa kwenda kwetu mara kwa mara pamoja na familia zetu. Uwe utaratibu wa kwenda nyumbani walau mara moja kwa mwaka, hii itachochea mabadiliko tupeleke na watoto wetu wakajionee Mkoa wao na Mazingira yao yalivyo mazuri.

Asanteni kwa kunisikiliza.

Naipenda Kagera, Naipenda Kilimanjaro, Naipenda sana Tanzania.
 
Walioijenga Dar siyo wazawa wa Dar, Walioijenga Dododoma si wazawa wa Dodoma. Anayeendeleza mkoa si lazima awe mzawa ila ni fursa na mazingira ya uwekezaji. La kufanya jenga nyumba nzuri kijijini kwenu Zinga au Kyaka ili upate sehemu nzuri ya kufikia kipindi cha likizo. Siku fursa zikifunguliwa umma wote utahamia huko Kagera bila kujali ni wazawa au si wazawa. Usomi haujengi, ukabila haujengi, kinachojenga ni fursa na mazingira ya uwekezaji.
 
Walioijenga Dar siyo wazawa wa Dar, Walioijenga Dododoma si wazawa wa Dodoma. Anayeendeleza mkoa si lazima awe mzawa ila ni fursa na mazingira ya uwekezaji. La kufanya jenga nyumba nzuri kijijini kwenu Zinga au Kyaka ili upate sehemu nzuri ya kufikia kipindi cha likizo. Siku fursa zikifunguliwa umma wote utahamia huko Kagera bila kujali ni wazawa au si wazawa. Usomi haujengi, ukabila haujengi, kinachojenga ni fursa na mazingira ya uwekezaji.
Ndicho nilichozungumza asante kwa kukazia.
Karibu Kagera.
 
Wakuu mambo vipi?

Mimi ni mzaliwa wa Wilaya ya Misenyi mkoa wa Kagera, Kijiji cha Rusinga! Pia Nsunga ni kwetu.

Nimekulia mkoa wa Kilimanjaro so Naifahamu Kagera vizuri na Naifahamu Kilimanjaro vizuri sana.

Hoja yangu naileta kutokana na Spika Ndugai jana kutuzodoa wana Kagera kuwa hatuna kitu tena yale mambo ya Nshomile hakuna tena, akadiriki kabisa kutufananisha na Dodoma kwao.

Alinifanya niutafakari vizuri huu mkoa wangu ninaoupenda na kulinganisha na alichokisema, Hatuna chuo Kikuu hata kimoja mbali na Open University.

Nini kisababishi? Mbona mkoa wetu wa Kagera umetoa wasomi wengi ukilinganisha na Mkoa wa Kilimanjaro ambao kijiografia ni mdogo sana?

Maprofesa waliotoka Kagera ni wengi, nini kilikwamisha uwekezaji wa Elimu Kagera? Kama ni maeneo tunayo yakutosha mandhari nzuri na zakuvutia wenyeji mnajua, hali ya hewa ni safi sana. Ukiwa Biharamulo kwenda Muleba, ukija mpaka Bukoba Rural, Misenyi, Kyerwa, Karagwe na Ngara mazingira ni mazuri sana.

Huwa naifurahia sana hali ya hewa ya kijijini kwetu Rusinga walikozikwa mababu zangu.

Tuwekeze kwenye Elimu kwani ndio sehemu/kitu wana Kagera wanaweza kukifanya kwa ufanisi wa hali ya juu.

Vilevile tunapopata fursa hasa tunapokuwa kwenye vyombo vya maamuzi tusisahau kwetu. Mheshimiwa Byabato kama uko huku jukwaani please! Kwasasa tu privilege mkoa wetu tuepuke kunangwa nangwa na kina Ndugai...

Kaka Bashungwa hebu fanyeni namna kuendeleza Kagera yetu, Kielimu na miundo mbinu.
Hivi mnajua Kilimanjaro wao wanashule na vyuo kibao? Na isitoshe hata miundo mbinu yao mingi iko vizuri. Makao makuu yote ya wilaya zao zimeunganishwa kwa lami.

Hata sisi tunaweza kukijipa kipaumbele,pia watu mnaowapa connection wahamasisheni wakajenge kwao Kagera.

Ndugu yangu Mhe. Mhandisi Ezra John Chiwelesa Ipambanie Biharamulo maeneo yapo yakutosha tafuta wawekezaji kipaumbele kiwe elimu
Steven L. Byabato nimeshakusemea hapo juu Bukoba must Change!!

Bukoba Vijijin inakutegemea sana Bwana Rweikiza Jasson. Hamasisha uwekezaji wa Vyuo.

Kule Kyerwa Mheshimiwa Innocent Sebba Bilakwate. Shirikiana vizuri na Bashungwa Karagwe na Kyerwa ziendelee sana.

Waheshimiwa wa Muleba Kazkazini na Kusini inapaswa kupaa kimaendeleo, msiendelee kuchelewa.

Mheshimiwa Ndaisaba Ruhoro Ngara bado iko nyuma sana kimaendeleo amkaa..

Mbunge wangu wa Nkenge Mheshimiwa Florent Kyomo sijui utafanyaje but Nkenge na Misenyi yote wanatakiwa kuendelea.

Kingine tujenge utamaduni wa kwenda kwetu mara kwa mara pamoja na familia zetu. Uwe utaratibu wa kwenda nyumbani walau mara moja kwa mwaka, hii itachochea mabadiliko tupeleke na watoto wetu wakajionee Mkoa wao na Mazingira yao yalivyo mazuri.

Asanteni kwa kunisikiliza.

Naipenda Kagera, Naipenda Kilimanjaro, Naipenda sana Tanzania.
Mkoa wa Kagera haujakwamishwa na wana Kagera. Mkoa wa Kagera umekwamishwa na watunga sera na waandaaji wa mipango ya Kitaifa pia na majanga yaliyoupata mkoa wa Kagera na yasipewe kupaumbele wa kitaifa kuyatatua. Rejea MV Bukoba iliyozama na kuuwa watu takribani 1,000. Hapakuwepo na juhudi za kuwapatia meli mpya kwa zaidi ya miaka 20.

Hivi kweli Mh Spika ni wakuwananga wananchi wenzake, Watanzania wenzake namna hiyo.
Nilikuwa na fikra kuwa kwa kuwa kila mpokea posho /mshahara wa serikali anatambua kuwa ni mchango wa wananchi wa Tanzania wote hivyo ana wajibu kuwaheshimu wote.

Pole sote tunaonangwa makabila yetu. Muda ndio utatoa jibu. There is no permanence in life.
 
Mkoa wa Kagera haujakwamishwa na wana Kagera. Mkoa wa Kagera umekwamishwa na watunga sera na waandaaji wa mipango ya Kitaifa pia na majanga yaliyoupata mkoa wa Kagera na yasipewe kupaumbele wa kitaifa kuyatatua. Rejea MV Bukoba iliyozama na kuuwa watu takribani 1,000. Hapakuwepo na juhudi za kuwapatia meli mpya kwa zaidi ya miaka 20.

Hivi kweli Mh Spika ni wakuwananga wananchi wenzake, Watanzania wenzake namna hiyo.
Nilikuwa na fikra kuwa kwa kuwa kila mpokea posho /mshahara wa serikali anatambua kuwa ni mchango wa wananchi wa Tanzania wote hivyo ana wajibu kuwaheshimu wote.

Pole sote tunaonangwa makabila yetu. Muda ndio utatoa jibu. There is no permanence in life.
Sawa mkuu pamoja na Majanga yote hayo kuna na lile la Iddi Amini, mpaka leo kuna mahandaki Bibi yangu huwa ananionesha yaliyotokana na Vita.

Ishu inakuja hapa hao watunga sera, sheria n.k hakuna hata mmoja anayetokea Kagera akajitetea kwa ajili ya mkoa wake? Hatujipiganii kwa nini
Impact ya Lyatonga Mrema kule Moshi mpaka leo inaonekana kupitia Miundo mbinu.

Wabunge na wawakilishi wetu wengine wanashindwa kututetea?
Mtu kama Tibaijuka keshafanya hadi na Agencies kubwa kabisa za Umoja wa Mataifa lakini impact yake ni ndogo sana.

Mkuu nikuambie kule Machame kuna barabara za Vijiji zinaunganishwa kwa lami na hazina route yoyote ile ya hiace au Noah tu.

Watu wetu walioko huko wakumbuke kwao.
 
Mara yangu ya kwanza kufika Bukoba mjini naambiwa hapa ndio stand kuu ya mabasi nikabaki nimeduwaaa.

Halafu jitahidini sana kuthamini mahali pa kujisitiri. Unakuta mtu kajenga nyumba nzuri sana kwa muonekano lakini ukiingia msalani ni kama uko tikriti ovyoooooo
 
Mara yangu ya kwanza kufika Bukoba mjini naambiwa hapa ndio stand kuu ya mabasi nikabaki nimeduwaaa.

Halafu jitahidini sana kuthamini mahali pa kujisitiri. Unakuta mtu kajenga nyumba nzuri sana kwa muonekano lakini ukiingia msalani ni kama uko tikriti ovyoooooo
Karibu tena.
Tunajitahidi.
 
Walioijenga Dar siyo wazawa wa Dar, Walioijenga Dododoma si wazawa wa Dodoma. Anayeendeleza mkoa si lazima awe mzawa ila ni fursa na mazingira ya uwekezaji. La kufanya jenga nyumba nzuri kijijini kwenu Zinga au Kyaka ili upate sehemu nzuri ya kufikia kipindi cha likizo. Siku fursa zikifunguliwa umma wote utahamia huko Kagera bila kujali ni wazawa au si wazawa. Usomi haujengi, ukabila haujengi, kinachojenga ni fursa na mazingira ya uwekezaji.
Kabisa mkuu, hata huku kwetu waliokuja kuendeleza sana si wazawa bali ni watu kutoka nje. Wakija hao wazawa nao wanaamka wanaacha kubweteka.
Inawezekana kagera kuna fursa chache ama ukiritimba mkuu.
 
Kabisa mkuu, hata huku kwetu waliokuja kuendeleza sana si wazawa bali ni watu kutoka nje. Wakija hao wazawa nao wanaamka wanaacha kubweteka.
Inawezekana kagera kuna fursa chache ama ukiritimba mkuu.
Fursa za elimu ni nyingi sana.
 
Nipo biharamulo hapa si mzawa WA hapa Ila Nina miezi mitano nipo hapa maisha ya watu ni magumu sn mbaya zaidi Kila ninapohudhuria vikao vya vitongoji mwamko wq wananchi kuhudhuria ni mdogo viongoz wanalalamika karibu wote wanasema hawajui tatizo ni nini.

Nikajisemea wacha nitumie usomi wangu mdogo wa degree moja kufanya utafiti mdogo kwa kuchukua kata 3 kama samples nikutane na makundi ya wakazi wa hapa takribani makundi yote Ku shida ni nn nikaandika barua kwenda kwa mkurugenzi ili aniruhusu kufanya utafiti huo huwezi Ami alinigomea kwa kuniambia sina mamlaka ya kuhoji wafanyakazi wa serikali kama vipi niandke barua ye atume timu ya kuchunguza ingawa wazo langu au utafiti wangu haukuwa na lengo la kuhoji wafanyakazi wake Bali mi nilitaka kutana na raia wa kawaida utafiti huo pia ungemsaidia hata yeye bnafs na viongoz wengne wa ngazi ya Chino yake baada ya majibu yake hayo nilitoka ofsn kwangu nikaendelea na Mambo yangu Tu hii nchi ni shida sana aisee ikumbukwe gharama zote ningejigharamikia kwa Kila kitu bt ndo hivyo
 
Nipo biharamulo hapa si mzawa WA hapa Ila Nina miezi mitano nipo hapa maisha ya watu ni magumu sn mbaya zaidi Kila ninapohudhuria vikao vya vitongoji mwamko wq wananchi kuhudhuria ni mdogo viongoz wanalalamika karibu wote wanasema hawajui tatizo ni nini.

Nikajisemea wacha nitumie usomi wangu mdogo wa degree moja kufanya utafiti mdogo kwa kuchukua kata 3 kama samples nikutane na makundi ya wakazi wa hapa takribani makundi yote Ku shida ni nn nikaandika barua kwenda kwa mkurugenzi ili aniruhusu kufanya utafiti huo huwezi Ami alinigomea kwa kuniambia sina mamlaka ya kuhoji wafanyakazi wa serikali kama vipi niandke barua ye atume timu ya kuchunguza ingawa wazo langu au utafiti wangu haukuwa na lengo la kuhoji wafanyakazi wake Bali mi nilitaka kutana na raia wa kawaida utafiti huo pia ungemsaidia hata yeye bnafs na viongoz wengne wa ngazi ya Chino yake baada ya majibu yake hayo nilitoka ofsn kwangu nikaendelea na Mambo yangu Tu hii nchi ni shida sana aisee ikumbukwe gharama zote ningejigharamikia kwa Kila kitu bt ndo hivyo
Mkuu kwani ungefanya utafiti bila kumshirikisha ingekuwaje?
Sidhani kama kuna shida ndugu yangu!!
Na Biharamulo ina mchanganyiko wa Wasukuma pia.
 
Mkuu kwani ungefanya utafiti bila kumshirikisha ingekuwaje?
Sidhani kama kuna shida ndugu yangu!!
Na Biharamulo ina mchanganyiko wa Wasukuma pia.
Huwezi kufanya Jambo la kuhoji raia locally Tu je ikitokea kuna watu wameenda kutoa taarifa polisi kwamba kuna mtu anazunguka na kuzungumza na raia kuhusu changamoto za mji huoni kwamba unaweza kamatwa ikakuletea shida ukizngatia nchi hii CCM wameshafanya kama Yao na familia zao watajua Tu mi ni chadema Yanini sasa kupelekwa mahabusu na kusumbuliwa huyo mbunge mwnyew engineer Hana lolote Naye anakalamika Tu haelewi biharamulo shida ni nn hiki nnachokisema nna uhakika nacho.
Pili nilitaka utafiti wangu uwe official si WA hovyohovyo Tu na nilitaka tumia miezi mitatu kisha nitoe report sa kama ningeufanya gzani ingesaidia nini sasa zaidi ya kupoteza muda tu
 
Back
Top Bottom