Mkoa wangu wa Kagera tunakwama wapi?

Mkoa wangu wa Kagera tunakwama wapi?

Huwezi kufanya Jambo la kuhoji raia locally Tu je ikitokea kuna watu wameenda kutoa taarifa polisi kwamba kuna mtu anazunguka na kuzungumza na raia kuhusu changamoto za mji huoni kwamba unaweza kamatwa ikakuletea shida ukizngatia nchi hii CCM wameshafanya kama Yao na familia zao watajua Tu mi ni chadema Yanini sasa kupelekwa mahabusu na kusumbuliwa huyo mbunge mwnyew engineer Hana lolote Naye anakalamika Tu haelewi biharamulo shida ni nn hiki nnachokisema nna uhakika nacho.
Pili nilitaka utafiti wangu uwe official si WA hovyohovyo Tu na nilitaka tumia miezi mitatu kisha nitoe report sa kama ningeufanya gzani ingesaidia nini sasa zaidi ya kupoteza muda tu
Nimekuelewa, na kwa kuwa nia yako ni njema.
Jaribu kumshirikisha na DC.
 
Punguzeni Ujuaji na kujifanya Mkoa wenu umeendelea kuliko Mikoa yote!Kwanza jiendelezeni kwa kuuza ardhi ili mpate mtaji wa kukiwamua!Unakutana na shamba Manispaa la Migomba kuubwa,ukiuliza eti hamuwez uza sbb mtakula ndizi
 
Achani ubinafs..ardhi mmeikumbatia hamtaki kuuzia wageni..sasa huo mji au mkoa utaendeleaje..biashara mnafanya kwa ukabila...mnazingua sana.

#MaendeleoHayanaChama
 
Achani ubinafs..ardhi mmeikumbatia hamtaki kuuzia wageni..sasa huo mji au mkoa utaendeleaje..biashara mnafanya kwa ukabila...mnazingua sana.

#MaendeleoHayanaChama
Umeisoma hoja yangu vizuri?
 
Umeisoma hoja yangu vizuri?
Nimeisoma na nmeielewa hao wasomi wa bukoba wabinafs ndio mana wamekimbilia kujenga dsm..kiufupi hata nyie tu hampendani..nmeish bkb nimeoa bukoba..nawajua vzr watu wa kagera.

#MaendeleoHayanaChama
 
Nimeisoma na nmeielewa hao wasomi wa bukoba wabinafs ndio mana wamekimbilia kujenga dsm..kiufupi hata nyie tu hampendani..nmeish bkb nimeoa bukoba..nawajua vzr watu wa kagera.

#MaendeleoHayanaChama
Na malengo yangu makuu ndio hayo ya kuhamasisha wana Kagera kuwekeza Kagera. Na kuhamasisha uwekezaji zaidi ndani ya Kagera.
 
Majamaa mabinafsi sana ukiliweka moja sehemu baada ya mwaka unakuta ofisi yote imejaa ukoo mzima. Afu ukilogwa uoe Muhaya jua umewaolea Wahaya watakugongea sana
 
Back
Top Bottom