Mkojani yapaswa awe millionaire

Mkojani yapaswa awe millionaire

Cvez

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2018
Posts
4,405
Reaction score
13,411
Huyu jamaa kashikilia soko la filamu hapa Tanzania kwa sasa. Yeye na wale wenzake ndio kama WCB ya filamu hapa nyumbani. Kila sehemu unayopita uswahilini, kwenye mabasi, vibanda umiza Super Star ni Mkojani. Ingekua sanaa inalipa Bongo jamaa angekua millionaire.​
 
Kiukweli Mimi ni kama nililazimishwa kutazama filam zake Kwa kupanda mabasi ya mikoani.
Sidhani kama naweza toa hela kununua kazi yake..

Ingawa nakubaliana na wewe sasa anatamba
Sasa hivi amekua kama maji hata umkimbie utakutana nae. Wasiomjua Mkojani sasa labda wale watoto wa kishua tu.
 
Kiukweli Mimi ni kama nililazimishwa kutazama filam zake Kwa kupanda mabasi ya mikoani...
Sidhani kama naweza toa hela kununua kazi yake..

Ingawa nakubaliana na wewe sasa anatamba
Sasa hivi amekua kama maji hata umkimbie utakutana nae. Wasiomjua Mkojani sasa labda wale watoto wa kishua tu.
 
Watu wa matangazo wamuone Ndio itamlipa nje ya hapo kazi sana
Sure sijui hana management? Ila kwa umaarufu aliokua nao alitakiwa awe na endorsements za kutosha
 
Sasa hivi amekua kama maji hata umkimbie utakutana nae. Wasiomjua Mkojani sasa labda wale watoto wa kishua tu.
Usiongee sana mimi simjui huyo jamaa hata anafananaje! Hebu picha yake tuone.
 
Kiukweli Mimi ni kama nililazimishwa kutazama filam zake Kwa kupanda mabasi ya mikoani...
Sidhani kama naweza toa hela kununua kazi yake..

Ingawa nakubaliana na wewe sasa anatamba
Naunga mkono hoja. Huyu Mkojani ndie alijiita Kipupwe sio mcheza sinema ni mchekeshaji tu yaani comedian. Na tunapopanda mabasi tunalazimishwa kuangalia vitu tusivyovitaka.
 
Faken mkojani ...Hana lolote.
Bongo Wachekeshaji bado nasema badooo
 
Back
Top Bottom