Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je wajuwa kuwa rangi ya mkojo wako ina maana gani?Mkojo una rangi gani?
kwa hisani ya mkuu MziziMkavuJf doctors,hivi mkojo kukosa ladha kuwa na ladha ya maji (test less) ni sawa?Au ni dalili ya ugonjwa gani?
ulitest kwa kunywa au kulamba?? au ulijuajeJf doctors,hivi mkojo kukosa ladha kuwa na ladha ya maji (test less) ni sawa?Au ni dalili ya ugonjwa gani?
Unywaji wako wa maji ukoje?, kama unakunywa maji menhi kuliko yanayotakiwa mwilini ni lazima pia yatoke mengi na yanayoka bila kubeba elements kuyoka kwenye kibofu, yaani yanatoka kama yalivyoingiaJf doctors,hivi mkojo kukosa ladha kuwa na ladha ya maji (test less) ni sawa?Au ni dalili ya ugonjwa gani?