Mkojo kunuka vibaya kama kinyesi

Chokochoko

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2011
Posts
438
Reaction score
184
habari zenu wana jamvi, naombeni mnisaidie kwaanaejuañ nini kinasababisha mkojo kunuka kama mavi?

Msichana wangu wajazi akienda kukojoa chooni hapaingilikikwaajili ya
harufu0 kali na mbaya nini sababu ya hiyo hali au ni ugonjwa gani?
Ninisababu naombeni msaada wenukwa anaejua maana ananishikia mtoto mdogo naogopa.



0
 
Aende hospital hii tunaita pyelonephritis may cause a foul smelling urine
 
sio kwamba anakojoa na kuj....mba???
 
Sidhani kama kweli ni huyo msichana, hii ni ishara kuwa umepungukiwa maji kwa kiasi kikubwa sana mwilini, hii huwatokea sana walevi. Kama alivyokuambia smile hapo juu, ukazane kunywa maji mengi tena siyo ya kwenye friji.

Tembelea tovuti ifuatayo ukajifunze mengi kuhusu maji na usisite kuja kuwajulisha wengine ikiwa utafanikiwa:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…