Mkojo wa Wema Sepetu wazua utata mahakamani!

Mkojo wa Wema Sepetu wazua utata mahakamani!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Ushahidi wa mkojo wa mwanasiasa Wema Sepetu umezusha mabishano ya kisheria baada ya Wakili Albert Msando kumhoji Inspekta wa polisi kama alikuwepo wakati mkojo huo " unapatikana na kuchukuliwa". Inspekta alidai hakuwepo ila umeletwa mahakamani na mkemia kama ushahidi. Kesi hiyo imeahirishwa hadi tarehe 26 na 27/02/2018 itakapoendelea kusikilizwa.

Chanzo: Clouds tv!
 
Inspekta kaushtukia mkojo,wasi wasi akili,unaweza usiww mkojo wa Wema.
 
Wema hakushauriwa vizuri. Angekiri kosa angeishia kupigwa faini isiyozidi milioni moja. Ila kwa sasa atatumia gharama kuubwa kuendesha hiyo kesi.
 
Ushahidi wa mkojo wa mwanasiasa Wema Sepetu umezusha mabishano ya kisheria baada ya wskili Albert Msando kumhoji Inspekta wa polisi kama alikuwepo wakati mkojo huo " unapatikana na kuchukuliwa". Inspekta alidai hakuwepo ila umeletwa mahakamani na mkemia kama ushahidi. Kesi hiyo imeahirishwa hadi tarehe 26 na 27/02/2018 itakapoendelea kusikilizwa. Source Clouds tv!

Nitapata wapi Chupa hiyo iliyo na ' Mkojo ' wa Madam Sepenga niupigie ' Nyeto ' niweze Kupizi?
 
Back
Top Bottom