johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Asharudi home hamna kesi hapoWema asitake kukataa mkojo wake! atakoma mpaka aombe poo.!
Ni kweli mkojo wa demu mkali una mvuto kimapenziloh aibu sana!! kuna wengine wakiona mkojo Wa mwanamke wanatengeneza mpaka image ya kipochi manyoya vichwani mwao
Wengine au wewe?loh aibu sana!! kuna wengine wakiona mkojo Wa mwanamke wanatengeneza mpaka image ya kipochi manyoya vichwani mwao
Kwani hiyo poo aombe mara ngapi?Wema asitake kukataa mkojo wake! atakoma mpaka aombe poo.!
Kuna kesi tena hapo?!!!Wema hakushauriwa vizuri. Angekiri kosa angeishia kupigwa faini isiyozidi milioni moja. Ila kwa sasa atatumia gharama kuubwa kuendesha hiyo kesi.
Hahahaa........!!!teh teh teh teh teh !,
Kwa sababu keshahamia chama tawala, its safe to assume kuwa kesi ishakwisha...Kuna kesi tena hapo?!!!
Ushahidi wa mkojo wa mwanasiasa Wema Sepetu umezusha mabishano ya kisheria baada ya wskili Albert Msando kumhoji Inspekta wa polisi kama alikuwepo wakati mkojo huo " unapatikana na kuchukuliwa". Inspekta alidai hakuwepo ila umeletwa mahakamani na mkemia kama ushahidi. Kesi hiyo imeahirishwa hadi tarehe 26 na 27/02/2018 itakapoendelea kusikilizwa. Source Clouds tv!