Mkojo wangu hutoka na ute

zamuhalelu

Senior Member
Joined
Oct 5, 2017
Posts
140
Reaction score
138
Wakuu habari za majukumu,

Nimekuwa na jambo hili ni kama miezi sita sasa nimeenda kwa daktari aliniambia sijafanya mapenzi muda mwingi ndiyo mana hutokea.

Jambo ni hili;

Nikiakaojoa then mwisho wa mkojo kuna ute mweupe pee unatoka hasa pale ninapojikamua kama nipo katika harakati za kushusha mzigo,nila sijawahi kuhisi maumivu hata siku moja ila huwa huu ute unatoka mara nyingi.

Je, kuna mwenye ufahamu na hili zaidi?
 
Nenda Hospital ukapime tena
 
Ni hali ya kawaida tuu.. ila usipende kuangalia picha au video zinazosisimua ashki za mapenzi coz nazo huchangia huo ute ute ( semen) kutoka pale mwili unaposisimuka kimapenzi..
 
Utakua unaangalia sana porno na ukimaliza haupigi demu au nyeto....ndio maana bao linakua limekuja mpaka mkao wakutoka lakini linarudi so inabidi ute ute ndio uje.
 
Ni dalili za kuwa na tezi dume
 
Kwani wakike au wakiume [emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
 
Inaonyesha hujala nyama mbichi kwa muda,na sisi wanaume huwa tunasumbuliea na kuiwazia,ukimuona mdada tu unamvua chupi kichwani,ute lazima utoke.
Tehehehe kiongozi mbna kama unaenda kunako uhalisia.....lohhhhhh.....
 
Kwa hvyo inahitaji dawa hii??

Mana spitali niliambiwa nifanye nitafte njia ya kutolea mzigo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…