Zesh
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 15,395
- 25,049
OkBonge la dume kiongozii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OkBonge la dume kiongozii
Lete mchango kama upo kiongozi ..mana isije mwisho nikakojoa ute mwanzo mwisho badala ya mkojo loh
Daah tezi dume inakunyemeleaMkuu mie ni kidume cha mbeguu
Uzoefu mkuu,hiyo hali tumeipitia sana.Tehehehe kiongozi mbna kama unaenda kunako uhalisia.....lohhhhhh.....
daktari alivokwambia ivo ukamuona fala?Wakuu habari za majukumu,
Nimekuwa na jambo hili ni kama miezi sita sasa nimeenda kwa daktari aliniambia sijafanya mapenzi muda mwingi ndiyo mana hutokea.
Jambo ni hili;
Nikiakaojoa then mwisho wa mkojo kuna ute mweupe pee unatoka hasa pale ninapojikamua kama nipo katika harakati za kushusha mzigo,nila sijawahi kuhisi maumivu hata siku moja ila huwa huu ute unatoka mara nyingi.
Je, kuna mwenye ufahamu na hili zaidi?
Yani wakati sikojoi hyo hali haitokei kabisaa kiongozi hii huja pale nimemaliza mkojo kabisa kisha labda ile nataka nitoe mzigo wa tumboni katika harakati za kujikakamua ndoo huwa zinatokaga na sijawahi pata maumivu kwa miezi yote hii kiongozi.....Je wakati hujakojoa huna hiyo hali
Aaaahhh wapii tangu pale tu bado haijafikaa bwana.....Daah tezi dume inakunyemelea
Aaaahhh wapii tangu pale tu bado haijafikaa bwana.....Daah tezi dume inakunyemelea
Nakukubali kiongozi maneno yako yana ukweli kwangu....Uzoefu mkuu,hiyo hali tumeipitia sana.
Tehehhe kiongozi bathiiiiiiii nimekuelewaaaa teheheh mana hapo naona umetumia tafsida mnooBaba huonugwadu umekujaaa nenda kautoe usije kutokea sehemu nyingine genye hizo mbaba
Waaaoooooo woyoooooooooooooo...
Mkuu mie sikojoi nimesimama mara nyingi huwa nachuchumaa au kukaa kwenye sink...
NaamUnapigaga punyeto kwani?
Au ulishapigaga kwa muda mrefu ukaacha?