King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Alafu unakuta anakaa nyumba ya kupanga!! Tanzania bana...
Kwani akiishi nyumba ya kupanga kuna ubaya gani kama yeye kapenda au kaamua hivyo?
Hivi kuna mtu anapenda kupanga?...amka ww.
Ameinunua kiasi gani? Mana hawachelewi kusema gharama yake ni Tsh. milioni 300.
Mzima tu binamu, za kupotea?, usharud aiseeh?