Elections 2010 Mkombozi Slaa apokelewa kwa kishindo Kahama

Dah! Huu utitiri wa watu unatia moyo. Hakika mwaka huu ni mwaka wa mabadiliko.
 
Wachakachuaji na mabwana zao wameshika tama. Ngoma ya kuchakachua imeonekana itakuwa nzito! You WACHAKACHUAJI, you would better give up now and do something sensible and productive to NJI HII than later!

Go Dr. SLAA, Gooooooooooooooooooooooooo!
 



Nimeipenda hiii!
 

Kazi ni kupiga, kulinda, kuhesabu na kujumlisha kura kwani hapo ndipo mafisadi wamejipanga kuwapora wananchi na kuendeleza utawala wa baba, mama na mtoto. Ni lazima kujipanga kuepusha hayo.
 

Jamani tusishangae Dr. Mlingwa kwenda kuwa Mhadhiri pale SUA ndo jambo la msingi na atakuwa amefanya uamuzi mzuri sana mimi namuunga mkono kwa hilo. Mbona Al Gore alirudi chuoni kufundisha? Leo tushangae kwa Dr. Mlingwa kwenda kufundisha Chuo Kikuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…