Mtego wa Noti
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 2,591
- 1,616
Ndugu wanaJf, mimi ni mtanzania ila bado kuna kitu naomba mnisaidie. Nimekuwa nikipita katika maeneo mbalimbali ya nchi na ninaona kuna watu wanachimba mitaro na kuzika nyaya fulani maarufu kama mkongo wa mawasiliano. Kinachonishangaza mimi ni kuwa sifahamu ni jinsi gani waya ulio ardhini utasaidia katika kurahisisha mawasiliano. Au wataunganisha hayo ma-cable kwenye hii minara tuanyoiona imesimikwa mitaani? Hii itafanyeje kazi jamani? naomba mnielezee kwa simple language ili nielewe ni jinsi gani huu mkongo unafanya kazi.
Asante sana waungwana kwa kukubali kunisaidia katika hili.
Asante sana waungwana kwa kukubali kunisaidia katika hili.