Mkongo wa mawasiliano ni nini?

Mkongo wa mawasiliano ni nini?

Mtego wa Noti

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2010
Posts
2,591
Reaction score
1,616
Ndugu wanaJf, mimi ni mtanzania ila bado kuna kitu naomba mnisaidie. Nimekuwa nikipita katika maeneo mbalimbali ya nchi na ninaona kuna watu wanachimba mitaro na kuzika nyaya fulani maarufu kama mkongo wa mawasiliano. Kinachonishangaza mimi ni kuwa sifahamu ni jinsi gani waya ulio ardhini utasaidia katika kurahisisha mawasiliano. Au wataunganisha hayo ma-cable kwenye hii minara tuanyoiona imesimikwa mitaani? Hii itafanyeje kazi jamani? naomba mnielezee kwa simple language ili nielewe ni jinsi gani huu mkongo unafanya kazi.
Asante sana waungwana kwa kukubali kunisaidia katika hili.
 
Hapo zamani mawasiliano ya Internet yalikuwa yanapita kwenye waya za simu na satellite, ndani ya nchi na africa. yalikuwa

Lakini kutoka Africa na kwenda Europe na Mabara mengine ilkuwa ni kwa njia ya Satellite pekee, sasa huu mkonga umeunganisha africa na Continent nyingine kwa njia ya huu mkonga

Sasa ni kwamba ni nini tofauti ya huu mkonga na zile njia za simu za zamani ? Huu mkonga ni Fibre Optic yaani signal inakuwa ni mwanga, kwa hiyo hii ina kasi zaidi ni kama badala ya kutumia barabara za uchochoro wa magari kupita sasa wamejenga Highway

Kwa hiyo mawasiliano yataendelea kupita kwa njia za satellite kama zamani pia na kwenye huu mkonga...,

Kwa mfano wa magari mkonga ni kama Highway kubwa imejengwa ambayo itafanya magari mengi yapite na kwa kasi.., pia tuseme zamani kwenda ulaya kulikuwa kuna usafiri wa meli peke yake lakini sasa kutakuwa na usafiri wa ndege.

Kwahio huu Mkonga ni kama barabara kubwa zinasambazwa nchi nzima ili magari yapite kwa urahisi na kwa kasi
 
Hapo zamani mawasiliano ya Internet yalikuwa yanapita kwenye waya za simu na satellite, ndani ya nchi na africa. yalikuwa

Lakini kutoka Africa na kwenda Europe na Mabara mengine ilkuwa ni kwa njia ya Satellite pekee, sasa huu mkonga umeunganisha africa na Continent nyingine kwa njia ya huu mkonga

Sasa ni kwamba ni nini tofauti ya huu mkonga na zile njia za simu za zamani ? Huu mkonga ni Fibre Optic yaani signal inakuwa ni mwanga, kwa hiyo hii ina kasi zaidi ni kama badala ya kutumia barabara za uchochoro wa magari kupita sasa wamejenga Highway

Kwa hiyo mawasiliano yataendelea kupita kwa njia za satellite kama zamani pia na kwenye huu mkonga...,

Kwa mfano wa magari mkonga ni kama Highway kubwa imejengwa ambayo itafanya magari mengi yapite na kwa kasi.., pia tuseme zamani kwenda ulaya kulikuwa kuna usafiri wa meli peke yake lakini sasa kutakuwa na usafiri wa ndege.

Kwahio huu Mkonga ni kama barabara kubwa zinasambazwa nchi nzima ili magari yapite kwa urahisi na kwa kasi

asante sana Voice OfReason, kwa hiyo hizo optic fibres zitaunganishwa kwenye hii minara au zitakuwa zinachukua signals zikwa ardhini hivohivo? au kutakuwa na station maalum ambayo hizo fibres zina chukua na kurusha signals?
Thanks for you kindness in elaborating this to me!
 
asante sana Voice OfReason, kwa hiyo hizo optic fibres zitaunganishwa kwenye hii minara au zitakuwa zinachukua signals zikwa ardhini hivohivo? au kutakuwa na station maalum ambayo hizo fibres zina chukua na kurusha signals?
Thanks for you kindness in elaborating this to me!
Unajua internet ni (web) kama ile nyumba ya buibui au barabara

Kwahiyo kutoka kwangu signal inaweza ikapita kwenye mkonga then satellite then mkonga then satellite then ndio inafika kwako.., inategemea na traffic jams (mfano wa magari kwenye barabara, Kufika Pugu kuna njia zaidi ya moja) kwahiyo hizi zote zitakuwa interconnected kama barabara zilivyo connected zote.., uzuri kwa sasa badala ya signal kutoka marekani kuja africa kutumia satellite peke yake, sasa kutakuwa na huu mkonga

Hata hiyo modem yako ya Zain/Zantel/Tigo..., signal inaweza ikatoka kwako kwa njia ya satellite mpaka huko kwa hao Zain/Zantel/Tigo (Gateway) ambapo hapo kutakuwa kuna barabara nyingi (Mikonga na Satellite) kupeleka signal yako inapokwenda.

Pia kumbuka hata ukituma Picha ili ifike kwangu hiyo picha inavunjwa vunjwa kwenye pcs ndogo ndogo alafu hizo pcs (pkts) zinatumwa kwa njia tofauti alafu zikifika kwangu browser yangu inazikusanya zote na kuziunganisha ili nipate full picha.., kwahiyo huenda pua ya picha ilipitia njia ya mkonga then satellite wakati sikio lilipita kwenye satellite peke yake.
 
Unajua internet ni (web) kama ile nyumba ya buibui au barabara

Kwahiyo kutoka kwangu signal inaweza ikapita kwenye mkonga then satellite then mkonga then satellite then ndio inafika kwako.., inategemea na traffic jams (mfano wa magari kwenye barabara, Kufika Pugu kuna njia zaidi ya moja) kwahiyo hizi zote zitakuwa interconnected kama barabara zilivyo connected zote.., uzuri kwa sasa badala ya signal kutoka marekani kuja africa kutumia satellite peke yake, sasa kutakuwa na huu mkonga

Hata hiyo modem yako ya Zain/Zantel/Tigo..., signal inaweza ikatoka kwako kwa njia ya satellite mpaka huko kwa hao Zain/Zantel/Tigo (Gateway) ambapo hapo kutakuwa kuna barabara nyingi (Mikonga na Satellite) kupeleka signal yako inapokwenda.

Pia kumbuka hata ukituma Picha ili ifike kwangu hiyo picha inavunjwa vunjwa kwenye pcs ndogo ndogo alafu hizo pcs (pkts) zinatumwa kwa njia tofauti alafu zikifika kwangu browser yangu inazikusanya zote na kuziunganisha ili nipate full picha.., kwahiyo huenda pua ya picha ilipitia njia ya mkonga then satellite wakati sikio lilipita kwenye satellite peke yake.


interesting!!! you are very GREAT!!! nashukuru sana mkuu maana mi nilikuwa nashangaa naona jamaa wanachimbia nyaya...kumbe ndio iko hivyo? now i understand!!! hapo kwenye red nimecheka mno....big up
 
Asante umetufumbua wote ambao hatukuwa na uelewa sawa sawa
 
Alafu walidai hii kitu italeta mapinduzi ya mtandao kwa kushuka bei lakini naona siku zinasonga tu bei ile ile
 
Back
Top Bottom