Mkongo wa Taifa (Intaneti) uwafikie wananchi

Mkongo wa Taifa (Intaneti) uwafikie wananchi

Mparee2

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2012
Posts
3,092
Reaction score
5,386
Natamani kusikia kuwa Serikali inaweka utaratibu ambao mtu binafsi anaweza kuunganishiwa Internet NYUMBANI KWAKE kutoka mkongo wa taifa na kulipia kila mwezi.

Na maanisha kuwe na package tofauti tofauti za kila mwezi kulingana na matumizi (speed) watu wachague.

Gharama za kuunganishiwa zinaweza kuwa kwa utaratibu wa mtu kulipia gharama za kuunganishiwa na kukatwa kwenye malipo ya mwezi/ hii ni kama Serekali haina fungu la kufanya kazi hii.

Naamini kuna watu wengi sana wakiwemo wa kada ya Afya, Elimu na Technologia wanaohitaji internet yenye nguvu na ya kuaminika kwenye kazi zao za kila siku.
 
wazo zuri na mama alimaanisha hivyo ila utekelezaji chini ya ccm ni kitendawili
 
Natamani kusikia kuwa Serikali inaweka utaratibu ambao mtu binafsi anaweza kuunganishiwa Internet NYUMBANI KWAKE kutoka mkongo wa taifa na kulipia kila mwezi.

Na maanisha kuwe na package tofauti tofauti za kila mwezi kulingana na matumizi (speed) watu wachague.

Gharama za kuunganishiwa zinaweza kuwa kwa utaratibu wa mtu kulipia gharama za kuunganishiwa na kukatwa kwenye malipo ya mwezi/ hii ni kama Serekali haina fungu la kufanya kazi hii.

Naamini kuna watu wengi sana wakiwemo wa kada ya Afya, Elimu na Technologia wanaohitaji internet yenye nguvu na ya kuaminika kwenye kazi zao za kila siku.
Hii huduma mbona ipo TTCL wanayo
 
Halafu hii mitandao ya simu iache kusema uongo eti kuna 4G.Wakati kuna maeneo hata 2g haipo na haishiki na kwa hapa mjini?
 
Internet ya Uhahakika Na Gharama Nafuu Ni Muhimu Sana Katika Kuchangia Ukuaji Wa Maendeleo. Na Kama Mifumo Ya IT Ingetumika Ipasavyo Kufundishia Ingesaidia Sana Katika Kuboresha Na Kutoa Elimu Inayoendana Na Wakati.
 
Huduma ipo muda tuu ila shida ni uhalibifu wa miundo mbinu.mfano gongo lamboto ndanindani ttcl wamepitisha nguzo zao ila zinaalibiwa na kuwa kuni na nyaya kuanikia nguo
 
Back
Top Bottom