Penguin-1
JF-Expert Member
- Apr 30, 2012
- 406
- 65
Habari JF Dr,
Shida yangu ndogo ila sasa naona imeanza kunikwaza na ninakuwa na wasiwasi,
Nikiwa nacheza mpira nilianguka na kujizuia na mkono wa kushoto ,hivyo ukashituka(sina hakika ,ila nikapata maumivu) maeneo ya kwenye joint begani.
Nikajuwa nitapona tu ,tunaanguka mara nyingi tu ,zikapita wiki 2 ,mpaka mwezi bado nasikia maumizu kwa mbali ,au mkono ukiwa kwenye angles flan flan. Nikaenda hospitali nikachukua Xray(tena mdada wa xray aliniangalia akasema hujaumia wewe ,kisa nilikuwa nimebeba bag)
Xray ikasomwa ,report inasema sina fracture ,..kimsingi nipo pouwa.
Ila ukweli mimi bado mkono unaniuma ,tena nahisi maumizi yanaongezeka slowly with time ,mara nyingine siwezi vuta ,beba vitu kwa mkono huu..
Nini inaweza kuwa shida?,
Nipo najiandaa kurudi hospitali kesho.
Shida yangu ndogo ila sasa naona imeanza kunikwaza na ninakuwa na wasiwasi,
Nikiwa nacheza mpira nilianguka na kujizuia na mkono wa kushoto ,hivyo ukashituka(sina hakika ,ila nikapata maumivu) maeneo ya kwenye joint begani.
Nikajuwa nitapona tu ,tunaanguka mara nyingi tu ,zikapita wiki 2 ,mpaka mwezi bado nasikia maumizu kwa mbali ,au mkono ukiwa kwenye angles flan flan. Nikaenda hospitali nikachukua Xray(tena mdada wa xray aliniangalia akasema hujaumia wewe ,kisa nilikuwa nimebeba bag)
Xray ikasomwa ,report inasema sina fracture ,..kimsingi nipo pouwa.
Ila ukweli mimi bado mkono unaniuma ,tena nahisi maumizi yanaongezeka slowly with time ,mara nyingine siwezi vuta ,beba vitu kwa mkono huu..
Nini inaweza kuwa shida?,
Nipo najiandaa kurudi hospitali kesho.