Mkono kuishiwa nguvu ni ugonjwa gani na tiba yake ni dawa gani?

Mkono kuishiwa nguvu ni ugonjwa gani na tiba yake ni dawa gani?

Euphransia

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2017
Posts
937
Reaction score
778
Nawaomba watalamu wa tiba ninasumbuliwa Na mkono kuishiwa nguvu kuanzia began I mpaka kwenye vidole.Je nini tatizo? Je Tiba yake ni Dawa gani? Naomba ushauri wenu.
 
Nawaomba watalamu wa tiba ninasumbuliwa Na mkono kuishiwa nguvu kuanzia began I mpaka kwenye vidole.Je nini tatizo? Je Tiba yake ni Dawa gani? Naomba ushauri wenu.
Tatizo lako linatokea mda gani na huwa lunadumu kwa mda gani?
 
Halina muda maalumu Na ni muda mfupi sana hali inarudi saw a naomba msaada wako
 
Nawaomba watalamu wa tiba ninasumbuliwa Na mkono kuishiwa nguvu kuanzia began I mpaka kwenye vidole.Je nini tatizo? Je Tiba yake ni Dawa gani? Naomba ushauri wenu.
Kwetu huwa katiiti tiba yake ni ndogo saana mkuu ni pm
 
Back
Top Bottom