Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 16,003
Ndugu zangu,
Katika hali isiyokuwa ya kawaida Mwenyekiti wa CHADEMA ndugu Freeman Mbowe ajitenga na kampeni za CHADEMA kuusaka Urais. Ikumbukwe mwaka 2015 Mbowe alishiriki kampeni za Lowassa kikamilifu hadi kufikia kupoteza fahamu katika kufurahia "nyomi" na michango ya kampeni toka kwa marafiki wa EL.
Inasemekana sababu nyingine ni hali tete ya Ubunge wa wilaya ya Hai kwani Mbowe yupo taabani kutokana na kukubalika kwa Mgombea Ubunge kupitia CCM ndugu Saashisha aka Mbunge anayesubmiri kuapishwa.
Katika hali isiyokuwa ya kawaida Mwenyekiti wa CHADEMA ndugu Freeman Mbowe ajitenga na kampeni za CHADEMA kuusaka Urais. Ikumbukwe mwaka 2015 Mbowe alishiriki kampeni za Lowassa kikamilifu hadi kufikia kupoteza fahamu katika kufurahia "nyomi" na michango ya kampeni toka kwa marafiki wa EL.
Inasemekana sababu nyingine ni hali tete ya Ubunge wa wilaya ya Hai kwani Mbowe yupo taabani kutokana na kukubalika kwa Mgombea Ubunge kupitia CCM ndugu Saashisha aka Mbunge anayesubmiri kuapishwa.