Mkono wa Edward Manyama wasababisha mchezo kuvunjwa

Azam na utopolo ni uchafu hamna team
 
Azamu wangejikita kuuza maandazi na juice zao za embe.mambo ya mpira wawaachie simba na yanga
 
Warudi tu bongo. Watunisia wana bahati saana maana FEISAL hakucheza
 
Azam wanakimbiaje mchezo imekuwa ndondo cup ???
 
si walitaka pri sizon nje ya nchi? sasa vilio vya nii!!!
 
Simba walishatia mpira kwapani,siwashangai AZAM
Utoporoo waliwahi kugomea mechi na Simba kwenye kombe la Kagame .Nakumbuka Nicolas Musonye aliyekua katibu mkuu wa CECAFA enzi hizo aliwatukana na kuwaita yanga majina mabaya sana😀😀😀.Baada ya hapo utoporooo walifungiwa kucheza michuano hiyo hadi baadae sana ndio wakasamehewa🤣🤣🤣
 
2008 ambapo Yanga ikiwa katika hali tete ya kiuchumi ilishindwa kutokea uwanjani kucheza na Simba katika mashindano ya Kombe la Kagame.


Yanga ikiwa chini ya aliyekuwa Mwenyekiti Imani Madega iligomea mchezo huo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…