Kwanza amshukuru Mungu kwa kumuepusha na Makato ya mshahara wake. Hivi kwa mshahara wa ualimu ...ukipokea cash bila makato ya mkopo...unakuta mwalimu akifika tarehe 10 tu hata senti tano mfukoni hana, sasa unapolaumu unacheleweshewa mkopo...si majanga hayo??
Walimu lazima mjitambue....ni vema ukawa mwalimu pia ukawa mjasiria mali ili usiishi kwa kutegemea huo mshahara. Siku hizi fursa ni nyingi. Hata leo upate 10 Milioni mwalimu...then after one week...huna kitu.
Naomba msinirushie mawe walimu tafadhali..lakini najaribu tu kutoa tahadhari ili tuangalie njia mbadala ya kujikwamua badala ya kutegemea merely your monthly salary!
Mwalimu ndio mwanga....hata rais , waziri, daktari, Nurse, and others wamefundishwa na mwalimu. So be proud to be a teacher!