Mimi ni mtumishi serikalini nimeomba mkopo katika tawi moja la boa hapa Tanzania Kanda ya Ziwa sasa nimetimiza mwezi mmoja kila nikienda loan officer dada mmoja ananijibu approve ya mkopo wako bado.
Jamani hivi approve inakaa zaidi ya mwezi nateseka sana na nashida kubwa.Naomba wanajamvi mnisaidie kama mnayo idea na benki ya boa mnisaidie.
Jamani hivi approve inakaa zaidi ya mwezi nateseka sana na nashida kubwa.Naomba wanajamvi mnisaidie kama mnayo idea na benki ya boa mnisaidie.