Mkopo CRDB unachukua siku ngapi hadi kuupata?

Akasankara

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2015
Posts
4,210
Reaction score
5,752
Wadau,

Kuna binamu yangu (mtumishi wa Serikali) amechukua mkopo CRDB huko Ruvuma, lakini cha kushangaza hadi wiki inakatika hajapewa huo mkopo. Je, kwa wale waliokwishachukua CRDB huwa inachukua siku ngapi kuupata?
 
Inachukua mwezi mmoja tu kwa kawaida!
 
Avumilie watampa tu, lakini ahakikishe siku anayochukua ndio mahesabu yaanze na I vinginevyo.
 
Nilichukuaga mkopo crdb nilikaa wiki 3 ila nikagundua walishaniwekea kwenye account wiki imeisha ila hawakuwahi kunipa taarifa kuwa pesa ipo kwenye acc.
 
Mmmh labda taratibu zimebadilika mimi niliomba na nikapata inless than a week hiyo ilikua 2 yrs ago
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…