Kajole
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 1,668
- 1,643
Habari wakuu?, mimi nina kiwanja kipo iringa mjini na tayari nimejenga msingi nahitaji kujulishwa kama naweza kukitumia kupata mkopo wa milioni 3 na ninauwezo wa kurudisha laki moja(100,000) kwa kila mwezi mpaka mkopo uishe.
Naombeeni kufahamishwa kamakuna mtu au taasisi yeyote yenye masharti na riba nafuu itakayo nisaidia. Asanteni sana
Naombeeni kufahamishwa kamakuna mtu au taasisi yeyote yenye masharti na riba nafuu itakayo nisaidia. Asanteni sana