Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmmm....mkopo diploma?Kuhs mkopo diploma ya ualimu kwa sis wenye div 1-3 o-level tunaombaje??
Watatoa mkopo na ruzuku kwa wataosoma diploma waliomaliza form VI na sio form IV, tambua kuwa diploma kwa aliye na elimu ya form IV ni miaka mitatuKuhusu mkopo diploma ya ualimu kwa sisi wenye div 1-3 o-level tunaombaje?
Vp kwan jeshi awalali bure na kula bure, mbona wanapewa posho, mkuu hii nchi tajiri sana ukiwa kwenye systemJidanganye, Serikal Yetu Ni Ya Waongeaji Tu, Upewe Mkopo Wakati Diploma Unalala Bure, Unapikiwa Bure.
kuna mkopo wa diploma kwani?
yap itatolewa kuanzia mwaka huu wa fedha, fomu utajaza ukishakuwa umedahiliwa chuoni kwako