card78
Member
- Sep 22, 2018
- 49
- 48
Kumekuwa na ongezeko la uchukuaji wa mkopo kutoka taasisi mbalimbali lakini bado kusimama kiuchumi bila utegemezi wa mkopo umeshindikana.
Matarajio ya wengi katika mkopo ni kurudisha mkopo kwa wakati sahihi na kuongeza kiwango cha mkopo baada ya muda nadhani hii imekuwa ni kasumba ya wengi katika zana nzima ya mkopo.
Najiuliza kwa nn wengi waliokwisha chukua mkopo hawajasimama katika mtaji wao binafsi baada faida ya kwanza katika mkopo wa awali ila unakuta kiwango cha mkopo ndo kina panda na hatimaye mtu anaweza filisiwa hata baada ya miaka 15 kisa ya mkopo mmoja kati ya 5 aliokwisha kukopa hapo awali.
Ushauri wangu ni vema kuhakikisha baada ya mkopo unabaki na mtaji wako wa kuendesha biashara na sio kupanda kimkopo .
Matarajio ya wengi katika mkopo ni kurudisha mkopo kwa wakati sahihi na kuongeza kiwango cha mkopo baada ya muda nadhani hii imekuwa ni kasumba ya wengi katika zana nzima ya mkopo.
Najiuliza kwa nn wengi waliokwisha chukua mkopo hawajasimama katika mtaji wao binafsi baada faida ya kwanza katika mkopo wa awali ila unakuta kiwango cha mkopo ndo kina panda na hatimaye mtu anaweza filisiwa hata baada ya miaka 15 kisa ya mkopo mmoja kati ya 5 aliokwisha kukopa hapo awali.
Ushauri wangu ni vema kuhakikisha baada ya mkopo unabaki na mtaji wako wa kuendesha biashara na sio kupanda kimkopo .