Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasilete siasa kwenye elimu? Wewe ni raia wa nchi hii? Komaeni, muwe wavumilivu, ccm ikishiba ndio mpate mnachostahili. Ila kwa sasa endeleeni kushangilia chama dume wakiprocess mikopo yenu.siasa hizi wasilete kwenye elimu
yani shida sana pole mkuu mambo ya hovyo sana aya😐😐😐😐Mi wamenikata laki mpaka saiz mwaka wa pili 50 saiz tena wameendelea kukaa na hio 50k
Mkuu wengine ayo maswali ya mavyema atuna time nayo ko usituunganishe afu inakuje wanachange mkopo wa awali mambo ya hovyo sanaWasilete siasa kwenye elimu? Wewe ni raia wa nchi hii? Komaeni, muwe wavumilivu, ccm ikishiba ndio mpate mnachostahili. Ila kwa sasa endeleeni kushangilia chama dume wakiprocess mikopo yenu.
Bora kuongeza sio kupunguza hali sio shwariyap inawezekana mimi niliingia na 80% nilipofika mwaka wa nne nikashangaa nimepewa 100% mpaka namliza mwaka wa 5
shida sio sup ila ni pesa kupunguzwa
Ndio zipo shida pesa ya awali ni tofauti na sasa
Aisee ili ni tatizo vijana wanapunguziwa adi ada kweli?Inashiria kuwa hazina ni pakavu ni mwendo wa ungaunga mwana.
Mkuu shida hipo wapi hapo ujuaji ni mwingi ndo tatizoContinous?, continuos? Halafu uko udsm? Hiki chuo muda siyo mrefu kitakua chuo cha kata
Duu 😐😐😐😐bora nyie mmepunguziwa...kuna wengine walipata mkopo mwaka jana...lkn mpk xx allocation ya mwaka huu haisomi
AkunaShida mtawafanyaje walio madarakani?
Aisee elimu yetu hii pole mkuu kwa hiyo changamotoMimi najua nimepunguziwa kama laki 2 hivi tangu mwanzo waliponipa mkopo waliandika. Sema ile screenshot nilipoteza na sijaona allocation hadi sasa. Kusaini kwenyewe bado ngoja huu upepo upite
bora nyie mmepunguziwa...kuna wengine walipata mkopo mwaka jana...lkn mpk xx allocation ya mwaka huu haisomi
Kwamba ukipata GPA ndogo pesa inapunguzwa duuWanadai GPA Ina determine amount ya pesa kwa mwaka mpya wa masomo either urudishiwe mkopo 100%, au upunguziwe au uongezewe Kama hukupata 100%
Kwamba ukipata GPA ndogo pesa inapunguzwa duu
Hawaeleweki na walishafanya kila mtu ni boya. Kwahiyo hapo ni namna tu ya kudai haki yenu. Daini na katiba mpya [emoji16][emoji16]Mkuu wengine ayo maswali ya mavyema atuna time nayo ko usituunganishe afu inakuje wanachange mkopo wa awali mambo ya hovyo sana
kumbe tuko wote mkuu...ngoj tuendelee kusubirMe mwenyew nasubiri allocation hapa maana wameshatoa kwa continuous lakn jina langu halipo na ukiingia kuangalia account haisomi pia, yaan shda tupu baadhi allocation imesoma lakn pesa zimepunguzwa...
Zinapunguzwa sababu unavyopata sup bodi wanaona haupo seriousshida sio sup ila ni pesa kupunguzwa