ODILI SAMALU
JF-Expert Member
- Dec 13, 2013
- 1,369
- 489
Wakuu naomba mniambie jinsi ya kuomba mkopo kwa wale wa diploma ya elimu( form four) ya masomo ya sayansi , ni jinsi gani wana apply mkopo ! Nina mdogo Wangu kachaguliwa udom ( diploma) wameambiwa waombe mkopo ! Msaada jinsi ya kuapply huo mkopo