Mkopo kwa wenye diploma qualifications

wabongo hamtaki kuambiwa ukweli sasa kama waliomaliza form 6 miaka 2 nyuma hawapati itakuwa dip.
Kinachotakiwa ni vigezo tu boss wangu maana naona wengine mnaanza kuingilia maamuz ya bod,let them reveal the truth.Thx 4 u're help guys
 

Bora wewe umekuja na udhibitisho
 
dah nawashukuru wakuu kwa michango yenu,nimepata picha halisi kuwa hapo ni hamsini kwa hamsini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…