Mkopo mkopo

Mkopo mkopo

Vianelly Vian

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2011
Posts
337
Reaction score
100
Msaada ni bank gani hapa tanzania inatoa mikopo kwa masharti nafuu na riba yao ni kidogo
 
Unataka mkopo wa kiasi gani na je ni wabiadhara au? una asset gani?
 
Bank nyingi zinatoa mkopo ila asset lazima na ndio itakulinda ili kupata kiasi unachotaka, bank nyingi mteja anayeanza humpa mil 2, ila jaribu ACB, DCB, CRDB ndio bank ninazoona hazina masharti mengi na CRDB riba yao ni nafuu kwa sasa
 
Equty niwazuri ila uwe umefungua account kwao izunguke kwa miezi 3 ila niwazuri na hana masharti magumu, japo hupenda zaidi mteja kuanzia kwenye mkopo wa kikundi cha watu 5 au 6, kama una Tin na leseni nenda ofisi zao za posta au mwenge watakusaidia
 
Equty niwazuri ila uwe umefungua account kwao izunguke kwa miezi 3 ila niwazuri na hana masharti magumu, japo hupenda zaidi mteja kuanzia kwenye mkopo wa kikundi cha watu 5 au 6, kama una Tin na leseni nenda ofisi zao za posta au mwenge watakusaidia

Tanks kwa maelezo mazuri mkuu
 
Back
Top Bottom