Kwanza,,,ongera kwa waliopata.lakini kitu cha msingi ni kujua kwamba fakati gani ulikuwa umechaguliwa,,,na je ni priority?maana unapokuwa unafuatilia ususan ukienda bodi hayo ndio maswali utakayo ulizwa,,,,kama course yako ni priority,,,lakini umekosa fuatilia utapata,,usikate tamaa,,,serikali iliweka kipao mbele,,,ila bodi pale kuna mchezo unaendelea sio mzuri,,,,,wakati mwingine usilaumu serikali bila kufuatilia na kujua swala lako liko je?kwa hiyo usiludi nyuma,,,''go ahead'''ni kitu cha msingi.