Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wadau,
nina mashamba ya mpunga Kyela, natafuta mkopo wa milion 5, nikiivisha mchele wangu nitamlipa mpunga magunia 20 au tunaweza kuelewana zaidi.
Nitafurahi sana ukiniPM.
Ukichukua hiyo 5M ukagawanya kwa 20 (idadi ya magunia atakayolipa) unapata 250,000. Maana yake ni kuwa jamaa atachukua pesa yako 5M atakaa nayo kwa takribani miezi 4-5. Halafu mwisho wa siku atakuuzia gunia moja la mpunga kwa sh. 250,000/-.Mkuu, Gunia 20 za mpunga kwa 5M?!!!!...bado.
acha utapeli sisi tunakopesha sh 40000 kwa gunia la mpunga debe 10 kulipa july!5m kwa just 20?ungesema 200 sawaWadau,
nina mashamba ya mpunga Kyela, natafuta mkopo wa milion 5, nikiivisha mchele wangu nitamlipa mpunga magunia 20 au tunaweza kuelewana zaidi.
Nitafurahi sana ukiniPM.
Ukichukua hiyo 5M ukagawanya kwa 20 (idadi ya magunia atakayolipa) unapata 250,000. Maana yake ni kuwa jamaa atachukua pesa yako 5M atakaa nayo kwa takribani miezi 4-5. Halafu mwisho wa siku atakuuzia gunia moja la mpunga kwa sh. 250,000/-.
Bei halali ya gunia la mpunga wakati wa mavuno haizidi 60,000/-. Hata bei ipande vipi gunia moja la mchele (sio mpunga) halitazidi 120,000 - 130,000.
So jamaa aendelee tu kutafuta atapata mtu wa kumkopesha hizo 5M!
Wadau,
nina mashamba ya mpunga Kyela, natafuta mkopo wa milion 5, nikiivisha mchele wangu nitamlipa mpunga magunia 20 au tunaweza kuelewana zaidi.
Nitafurahi sana ukiniPM.
BONGOLALA Amoeba BADILI TABIA CHAI CHUNGU nimesema magunia 20 ya mchele, hivi mnaelewa mchele na mpunga tofauti yake lakini?
BONGOLALA Amoeba BADILI TABIA CHAI CHUNGU nimesema magunia 20 ya mchele, hivi mnaelewa mchele na mpunga tofauti yake lakini?
Gunia la mchele kipindi hiki ambapo bei ipo juu ni sh. 120,000 - 130,000. Tena hapo ni Dar es Salaam, sio Ifakara wala Mang'ula wala sio Kyera.BONGOLALA Amoeba BADILI TABIA CHAI CHUNGU nimesema magunia 20 ya mchele, hivi mnaelewa mchele na mpunga tofauti yake lakini?
BONGOLALA Amoeba BADILI TABIA CHAI CHUNGU nimesema magunia 20 ya mchele, hivi mnaelewa mchele na mpunga tofauti yake lakini?
Utakuwa umekosea jukwaa mkuu, hii thread ungeipeleka jukwaa la udaku!Hahahahahaha raha ya BONGO huwezi kupata majibu mazuri kwa kuuliza swali kistaraabu weka madudu upate majibu mazuri! sihitaji mkopo nilihitaji kujua bei za Mchele na Mpunga kwa Dar, na mambo mengine. Asanteni kwa kushiriki