Mkopo sio zawadi, 1st lazima mjue hilo

Mkopo sio zawadi, 1st lazima mjue hilo

fagix

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
739
Reaction score
554
Naamini muwazima wa afya, awali ya yote niwapongeze wote mliobahatika kupata mkopo kutoka Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB).

Hiyo ni haki yenu kwani vigezo na sifa za kupata mkopo umevitimiza. Pia poleni kwa wote ambao hamjapata mkopo, pia nanyi vingezo na sifa naamini mnavyo ila bahati haikuwa kwenu. Msikate tamaa wala kurudi nyuma huo ni mwanzo wa mapambano ya maisha yako.

Niseme kwa maneno machache tu "mkopo sio zawadi". Mwaka wa kwanza walio wengi ambao wamepata mkopo akili yao wanahisi sasa maisha tayari yamekaa mguu sawa ni mwendo wa bata tu hadi boom likome.

Kama una mawazo hayo futa kabisa, siku zote pesa za mkopo hazitoshi kukidhi haja zako.

Unachotakiwa kufanya ni nini:

1. Tumia hela yako katika matumizi muhimu.
2. Usipende kuwa na rafiki asiye endena na bajeti yako.
3. Muda wote kumbuka maisha halisia ya familia yako.
4. Tambua familia hazilingani kipato, usipende kuiga vitu usivyo na uwezo navyo.
5. Wekeza hata kibanda cha nyanya nyumbani kwako, ili ukimaliza uwe na pakuanzia maisha.
6. Kumbuka mkopo ni deni na utaulipa kwa riba, haitajalisha kama umeajiriwa au hapana.
7. Acha ushamba wa kupapalikia mademu wa chuo wataku-cost. Kumbuka mwanamke hutumia boom lake tu kama boom la boyfriend wake limeisha.
8. Tumia mkopo kama nyenyo ya kupata elimu na sio kichocheo cha starehe.
9. Heshimu quiz, test, UE etc. kama unavyoheshimu sehemu zako za siri.
10. Usije ukakwaruzana na lecturer/instructor/tutor kisa demu kwa pesa zako za boom, utaumia wewe.
 
Hapo fresh, madogo wajifunze. Mimi mwaka wa kwanza nilivamia chuo bila mkopo nikijidai sponsor yupo asee nilivyopitia Mungu tu anajua.
 
Naamini muwazima wa afya, awali ya yote niwapongeze wote mliebahatika kupata mkopo kutoka HESLB, Hiyo ni haki yenu kwani vigezo na sifa za kupata mkopo umevitimiza. Pia poleni kwa wote ambao hamjapata mkopo pia nanyi vingezo na sifa naamin mnavyo ila bahati haikuwa kwenu, msikate tamaa wala kurudi nyuma huo ni mwanzo wa mapambano ya maisha yako.

Niseme kwa maneno machache tu "mkopo sio zawadi". mwaka wa kwanza walio wengi ambao wamepata mkopo akili yao wanahisi sasa maisha tayari yameka mguu sawa ni mwendo wa bata tu hadi boom likome! kama una mawazo hayo futa kabisa, siku zote pesa za mkopo hazitoshi kukidhi haja zako.

Unachotakiwa kufanya ni nini:-
1. tumia hela yako katika matumizi muhimu
2. usipende kuwa na rafiki asie endena na bajeti yako
3. muda wote kumbuka maisha halisia ya familia yako
4. tambua familia hazilingani kipato, usipende kuhiga vitu usivyo na uwezo navyo
5. wekeza hata kibanda cha nyanya nyumbani kwako, ili ukimaliza uwe na pakuanzia maisha
6. kumbuka mkopo ni deni na utaulipa kwa liba, haitajalisha kama umeajiliwa au hapana
7. acha ushamba wa kupapalikia mademu wa chuo wataku-cost, kumbuka mwanamke hutumia boom lake tu kama boom la boyfriend wake limeisha.
8.tumia mkopo kama nyenyo ya kupata elimu na sio kichocheo cha starehe
9.heshimu QUIZ, TEST, UE etc. kama unavyo eheshimu sehemu zako za siri.
10. usije ukakwaruzana na lecturer/instructor/tutor kisa deme kwa pesa zako za boom, utaumia wewe.
Shukrani sana mkuu kwa hii thread, nitauishi ushauri wako.
 
Naamini muwazima wa afya, awali ya yote niwapongeze wote mliobahatika kupata mkopo kutoka Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB).

Hiyo ni haki yenu kwani vigezo na sifa za kupata mkopo umevitimiza. Pia poleni kwa wote ambao hamjapata mkopo, pia nanyi vingezo na sifa naamini mnavyo ila bahati haikuwa kwenu. Msikate tamaa wala kurudi nyuma huo ni mwanzo wa mapambano ya maisha yako.

Niseme kwa maneno machache tu "mkopo sio zawadi". Mwaka wa kwanza walio wengi ambao wamepata mkopo akili yao wanahisi sasa maisha tayari yamekaa mguu sawa ni mwendo wa bata tu hadi boom likome.

Kama una mawazo hayo futa kabisa, siku zote pesa za mkopo hazitoshi kukidhi haja zako.

Unachotakiwa kufanya ni nini:

1. Tumia hela yako katika matumizi muhimu.
2. Usipende kuwa na rafiki asiye endena na bajeti yako.
3. Muda wote kumbuka maisha halisia ya familia yako.
4. Tambua familia hazilingani kipato, usipende kuiga vitu usivyo na uwezo navyo.
5. Wekeza hata kibanda cha nyanya nyumbani kwako, ili ukimaliza uwe na pakuanzia maisha.
6. Kumbuka mkopo ni deni na utaulipa kwa riba, haitajalisha kama umeajiriwa au hapana.
7. Acha ushamba wa kupapalikia mademu wa chuo wataku-cost. Kumbuka mwanamke hutumia boom lake tu kama boom la boyfriend wake limeisha.
8. Tumia mkopo kama nyenyo ya kupata elimu na sio kichocheo cha starehe.
9. Heshimu quiz, test, UE etc. kama unavyoheshimu sehemu zako za siri.
10. Usije ukakwaruzana na lecturer/instructor/tutor kisa demu kwa pesa zako za boom, utaumia wewe.
Tumekupata aisee mkuu
 
Nadaiwa 23 million sijui naanza kuzilipa lini na chamaana nlichokifanyia mkopo sion zaidi ya laptop yangu tu apa

Ushauri mzuri huu chukueni mkasome vijana elimu ikuondoe ujinga tu mana ajira ni kama mkojo wa kuku
Bila shaka ulikua upande wa afya
 
Back
Top Bottom