nyonga nyonga
Member
- Oct 2, 2013
- 27
- 4
Habari wana Jf!
Nina mdogo wangu, amepangiwa mkopo katika chuo tofauti na alicho chaguliwa.
Je? ni taratibu zipi za kufata panapo tokea jambo kama hili.
Asante.
Nina mdogo wangu, amepangiwa mkopo katika chuo tofauti na alicho chaguliwa.
Je? ni taratibu zipi za kufata panapo tokea jambo kama hili.
Asante.