covid 19
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 6,967
- 17,452
Wakuu habari za weekend na za jumapili..
Nahitaji mkopo wa tsh. 800,000 ni waharaka nahitaji Kwa ajili ya mambo ya biashara yangu.
Riba isiwe Kubwa Sana marejesho ndani ya mwezi mmoja tu.
Dhamana naweza kuweka vifaa vyangu vya bekary Machine vyenye thamani Marabili au zaidi ya hiyo pesa.
Kwa mwenye kujua sehemu au mtu atayeweza kunipa huo mkopo pia unaweza niambia.
nitashukuru.
Nahitaji mkopo wa tsh. 800,000 ni waharaka nahitaji Kwa ajili ya mambo ya biashara yangu.
Riba isiwe Kubwa Sana marejesho ndani ya mwezi mmoja tu.
Dhamana naweza kuweka vifaa vyangu vya bekary Machine vyenye thamani Marabili au zaidi ya hiyo pesa.
Kwa mwenye kujua sehemu au mtu atayeweza kunipa huo mkopo pia unaweza niambia.
nitashukuru.