Mkopo wa benki kwa dhamana ya cheti cha Hisa

bukoba boy

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2015
Posts
5,370
Reaction score
3,962
Wakuu
Nina hisa zangu za NMB nilinunua 2008 ,sasa najaribu kuziuza sababu na shida ya pesa ila sasa ni mwezi wa pili haziuziki.

Nawaza hakuna taasisi yoyote ya kifedha inayoweza kutoa mkopo na hizo hisa ziwe dhamana yangu?
 
Kwanza ujue mkpo haukaribiani sana na dhamana, mfano ukihitaji mkopo wa sh mil 8 lazima dhamani iwe ya sh mil 17 kwenda juu na iwe ni dhaman ya uhakika inayoeleweka na ambayo imetathminiwa kwa kiasi hicho
Million 8 mkuu
 
Kwanza ujue mkpo haukaribiani sana na dhamana, mfano ukihitaji mkopo wa sh mil 8 lazima dhamani iwe ya sh mil 17 kwenda juu na iwe ni dhaman ya uhakika inayoeleweka na ambayo imetathminiwa kwa kiasi hicho
Hata hii ni uhakika tena ni 13m to be exact.Vp una njia ya kunisaidia au?
 
Hata hii ni uhakika tena ni 13m to be exact.Vp una njia ya kunisaidia au?
swala liko hivi, ningejaribu endapo ningekuwa na uhakika kuwa hizo hisa zinalipa vizuri kila mwisho wa mwaka, pili kukukopesha ni ngumu kidogo kwa sababu dhamana yake kama hisa sijui process ya kuziweka kama dhamana sielewi inakuwaje ndio tatizo langu kubwa maana sijawahi kufikiria kununua hisa.
 
ungeonda kuwakopa hao hao nmb.. nazani branch manager angekupa muongozo...

japo mkopo hautokani na ukubwa wa maana bali unatokana na mzunguko wako kifedha... na biashara yako unayoifanya...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…