Mkopo wa biashara

daniel agrey

Member
Joined
Jul 23, 2017
Posts
96
Reaction score
345
Habari zenu wakuu husika na kichwa cha habari hapo juu mimi ni kijana nisiye na ajira ila nimepanga kuanzisha biashara nahitaji mkopo wa 2 million ni taasisi gani riba zao ni nafuu msaada tafadhari au mtu anayeweza kunikopesha anipm kwa maelewano
 
Mikopo mingi ya benki hapa tz wanakopesha mfanyabiashara ambaye anabiashara kabisa aliyeianzisha kwanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…